Mechi ya YANGA yaingiza mapato zaidi kuliko mechi za Simba, hata zile za CAF

Nasikitika kukuita mtoa Uzi BOYA..yaani takwimu za Manara ndiyo unazitumia hapa
 
Kwa iyo mashabiki wa Simba wanajaa kwenye derby tu? kumbuka katika derby 2... Moja mapato yalikuwa ni ya Simba...Ina maana mechi nyingine za Yanga na timu nyingine, mapato ya Yanga yaliizidi ya Simba...Au na mechi zote za Yanga wanaoenda ni mashabiki wa Simba?
 
Alafu kitu kingine kama hujui... Hata kwenye magazeti..Yanga ikishinda, magazeti yananunuliwa sana..tofauti na Simba inaposhinda... Hapo ndio ujue nguvu ya Yanga ilipo
 
Alafu kitu kingine kama hujui... Hata kwenye magazeti..Yanga ikishinda, magazeti yananunuliwa sana..tofauti na Simba inaposhinda... Hapo ndio ujue nguvu ya Yanga ilipo
Makolo....Wanabisha....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…