Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,156
- 13,258
Mchezo wa mpira wa miguu ligi kuu ya Zanzibar kanda ya ungunja uliotakiwa kuchezwa leo kati ya timu ya Polisi v/s Africa magic umeaahirishwa baada ya mchezaji mmoja wa Africa magic kutoa ripoti kuwa anaoa.Maridhiano pande zote yamefanyika na leo mchezo hauta kuwepo hadi siku nyingine.
``SI SHERIA ILA TUMEKUBALIANA TUMEANGALIA UBINAADAMU,MUACHE ACHUKUE JIKO GEMU IMEPANGWA TAR:24 MWEZI HUU,,