Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
Mechi ya Tanzania Prisons vs Biashara United imeingiza Tsh 9,000, kufuatia watu watatu tu kukata tiketi za Tsh 3,000 kila mmoja. Mechi hiyo imechezwa leo Jumamosi kwenye uwanja wa Sokoine Mbeya na timu hizo kutoka suluhu
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba