Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
Hayo n mambo ya ovyo kabsaWanakula kwa urefu wa kamba zao.
Mech ya leo na kesho ni AZAMSPORTS 1 HD ambayo ni yakulpia elf 28azam wajanja sana huwa wanazionesha kwenye ZBC2
ZBC ni television ya taifa zanzibar sababu wanapewa bure
Unaweza kubishana kwa kizungu?Je huu sio utapeli kwa watanzania? kama unapewa haki ya kurusha matangazo bure kwanini we uuze? Tunaomba ufafanuzi kwenye hili kabla mechi za timu za Tanzania za leo. Pia TCRA, TFF, FCC na wizara ya sanaa na michezo mpo wapi? kwani hamlijui hili swala na je nyie wachambuzi hamlioni hili pia? au mpaka mama aongee mwenyewe?
Acha tulipie tuangalie vizuri. Hao TBC HOPELESSJe huu sio utapeli kwa watanzania? kama unapewa haki ya kurusha matangazo bure kwanini we uuze? Tunaomba ufafanuzi kwenye hili kabla mechi za timu za Tanzania za leo. Pia TCRA, TFF, FCC na wizara ya sanaa na michezo mpo wapi? kwani hamlijui hili swala na je nyie wachambuzi hamlioni hili pia? au mpaka mama aongee mwenyewe?
Dunia n kijiji hata kchina tunabshana bossUnaweza kubishana kwa kizungu?
Bora umegusiaJe huu sio utapeli kwa watanzania? kama unapewa haki ya kurusha matangazo bure kwanini we uuze? Tunaomba ufafanuzi kwenye hili kabla mechi za timu za Tanzania za leo. Pia TCRA, TFF, FCC na wizara ya sanaa na michezo mpo wapi? kwani hamlijui hili swala na je nyie wachambuzi hamlioni hili pia? au mpaka mama aongee mwenyewe?
Leo utume email CAF kwa ushahidi wa channel ya AzamSports HD 1, tuone majibu yatakuwaje!Je huu sio utapeli kwa watanzania? kama unapewa haki ya kurusha matangazo bure kwanini we uuze? Tunaomba ufafanuzi kwenye hili kabla mechi za timu za Tanzania za leo. Pia TCRA, TFF, FCC na wizara ya sanaa na michezo mpo wapi? kwani hamlijui hili swala na je nyie wachambuzi hamlioni hili pia? au mpaka mama aongee mwenyewe?
Ntatuma meseji hata mia hawa wajinga wanatamaa sana, na wengne naomba tusaidiane katika hili tamaa za kijinga waacheLeo utume email CAF kwa ushahidi wa channel ya AzamSports HD 1, tuone majibu yatakuwaje!
Kwani makubaliano ya Azam na anayempa yakoje?Je huu sio utapeli kwa watanzania? kama unapewa haki ya kurusha matangazo bure kwanini we uuze? Tunaomba ufafanuzi kwenye hili kabla mechi za timu za Tanzania za leo. Pia TCRA, TFF, FCC na wizara ya sanaa na michezo mpo wapi? kwani hamlijui hili swala na je nyie wachambuzi hamlioni hili pia? au mpaka mama aongee mwenyewe?