Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
Je huu sio utapeli kwa watanzania? kama unapewa haki ya kurusha matangazo bure kwanini we uuze? Tunaomba ufafanuzi kwenye hili kabla mechi za timu za Tanzania za leo. Pia TCRA, TFF, FCC na wizara ya sanaa na michezo mpo wapi? kwani hamlijui hili swala na je nyie wachambuzi hamlioni hili pia? au mpaka mama aongee mwenyewe?