Kwa saa za HUKO au HUKU?Game zote siku ya kesho zitachezwa muda mmoja ili kuepuka kupanga matokeo, Tanzania U17 vs Niger U17 wakati huo huo Mali wataikaribisha Angola sasa 20.30 usiku
Wakati Yanga tukiwekeza kwenye magoli simba walikuwa wanawekeza kwenye majungu, tuache watu tumeshashona suti za sherehe, weitaaaaa ongeza round moja.Yanga wajue kabisa kuwa wanapaswa kushinda hii match ni muhim sana
Ile mechi simba walitoa muamalaHawa Mbao wapuuzi wakiona Yanga ndio wanakaza balaa wakati game na simba walifungwa kipuuzi kweli.
Ndio ni saa 20:30 usiku kwa mechi zote sababu ndio za mwisho....Nashukuru nilidhani leo
Mnataka za mezani. Jipange msimu ujao. Hizo gharamaaa Fifa si mgetumia kufanyia usajili wa msimu ujao?Hupati kitu wewe hujui point 3 zinarudi soon?
Huenda ndio mechi ambayo Mbao anaijutia sana ile.Ile mechi simba walitoa muamala
Ni muhim sana siku zote heshima ndio inayotafutwa kwenye soka.Sio muhimu kushinda sema wakishinda itaongeza heshima zaidi
Kwa saa za huku kwetu, hawa jamaa tumepishana nao saa mbili kama sikosei mkuu!Kwa saa za HUKO au HUKU?
Tulia wewe hata meza ni sehemu ya mpiraMnataka za mezani. Jipange msimu ujao. Hizo gharamaaa Fifa si mgetumia kufanyia usajili wa msimu ujao?
Mmmmh mtani naweTaifa miamala inafanya kazi,Simba wanaongeza goli hapa
2-0
Mfungaji Ibrahim Ajib
Hamna magoliYanga wanafukua dawa Kirumba pale sasa tuone magoli