Mechi za nje nacheza, kwa wife jogoo hawiki

Mechi za nje nacheza, kwa wife jogoo hawiki

hivi wewe yule mwanao mdogo si mkaka??

basi ujue mtoto wa kiume anaharibiwa na baba yake sasa wewe nenda katie sunna uone cha mtema kuni na ole wako aunt yake cacico na snowhite na Madame B waje kumuona wamkute anajambia mbele, anakalia mgongo badala ya ******, akiharisha uharo unarukia mbele , akisimama miguu haina nguvu uone cha mtema kuni lazima tukufungulie thread lol!

hahahah kuishi kama mtawa siwezi nna mpango wa kuanza kudonoa... si unaona mawingi mawingu haya... yanavyohamasisha
 
hahahah kuishi kama mtawa siwezi nna mpango wa kuanza kudonoa... si unaona mawingi mawingu haya... yanavyohamasisha

uwiiiiiiiiiii............yaani nakuona jinsi unavyombemenda mwana lol! hope hutofanya hivyo bana kwanza kwasasa unaweza kabisa kula tunda na wife manake kid kesha kua huyo. mzibue maskio haraka lol! ujue hiyo kitu hufanyaga maziwa ya mama yanapata virutubisho muhimu kwaajili ya mtoto.
 
Dhambi unayomfanyia mkeo inakusuta ukiona hivyo

mke anastahiki heshima sana,japo nakiri evn myslf hua nakosaga uaminifu siku moja moja

yote maisha,pole mkuu
 
Jaribu kumsafirisha aende kwao kwa muda wa mwezi mmoja hivi na wewe usiende kwa huyo nyumba ndogo naamini utamtamani mkeo na siku ukionana nae utanijulisha. Usitumie mizizi tafadhari.
 
What is this jamani?
Nikienda kwa kademu kangu ka uswazi, huko napiga mambo mpaka mtoto anadata, anawatukana hadi wazazi wake kwa kuweweseka na raha nimpazo.
Nikitaka kujirusha na mama mwenye ndoa yangu ni kasheshe, mtarimbo unalala doro, ukiinuka ndani ya dakika moja nisha piga bao na hausimami tena, hadi next week.
Jamani najihisi kabisa simtendei haki mke wangu, je nifanye nini ili nae nimpe raha kama anayoipata demu wa uswazi?

NiPM namba ya mkeo nikusaidie kazi. Kwanza ukiona hivyo ujue mkeo naye anadatishwa na mechi za ugenini ndo maana halalamiki
 
uwiiiiiiiiiii............yaani nakuona jinsi unavyombemenda mwana lol! hope hutofanya hivyo bana kwanza kwasasa unaweza kabisa kula tunda na wife manake kid kesha kua huyo. mzibue maskio haraka lol! ujue hiyo kitu hufanyaga maziwa ya mama yanapata virutubisho muhimu kwaajili ya mtoto.

hahahhaha nishaanza ila hazina mcharuko kama za ugenini!! za ugenini muhimu sunatiiii
 
What is this jamani?
Nikienda kwa kademu kangu ka uswazi, huko napiga mambo mpaka mtoto anadata, anawatukana hadi wazazi wake kwa kuweweseka na raha nimpazo.
Nikitaka kujirusha na mama mwenye ndoa yangu ni kasheshe, mtarimbo unalala doro, ukiinuka ndani ya dakika moja nisha piga bao na hausimami tena, hadi next week.
Jamani najihisi kabisa simtendei haki mke wangu, je nifanye nini ili nae nimpe raha kama anayoipata demu wa uswazi?
Wala usishangae....

Hapo ndio ujue sasa wewe ushakuwa MWANAUME.

Mwanaume wa kweli hushinda mechi za ugenini. Ukishinda sana mechi za nyumbani watasema refa anakupendelea.

Tafakari, chukua hatua.
 
Wala usishangae....

Hapo ndio ujue sasa wewe ushakuwa MWANAUME.

Mwanaume wa kweli hushinda mechi za ugenini. Ukishinda sana mechi za nyumbani watasema refa anakupendelea.

Tafakari, chukua hatua.

hivi unajua kwamba najitahidi sana kutafuta nyenzo itakayo nisaidia kuvuka virus barrier ili kuweza kumuua HIV??
BASI naomba nikutangazie hilo leo.
 
ewaaa! nilikuwa nakutamanije sasa? mzima wewe na matesha??
Haya, nimefika, sema neno lolote lililo ndani ya uwezo wangu....

Matesha yu buheri wa afya.... anazidi kupendeza mpaka baba yake naanza kuogopa.:madgrin:
 
hivi unajua kwamba najitahidi sana kutafuta nyenzo itakayo nisaidia kuvuka virus barrier ili kuweza kumuua HIV??
BASI naomba nikutangazie hilo leo.
Naamini utanimegea ili niifanyie majaribio. Hii mipira nayo sasa inatuwekea usiku wapenda viminyio.
 
Back
Top Bottom