Mechi za nje nacheza, kwa wife jogoo hawiki


hahahah kuishi kama mtawa siwezi nna mpango wa kuanza kudonoa... si unaona mawingi mawingu haya... yanavyohamasisha
 
hahahah kuishi kama mtawa siwezi nna mpango wa kuanza kudonoa... si unaona mawingi mawingu haya... yanavyohamasisha

uwiiiiiiiiiii............yaani nakuona jinsi unavyombemenda mwana lol! hope hutofanya hivyo bana kwanza kwasasa unaweza kabisa kula tunda na wife manake kid kesha kua huyo. mzibue maskio haraka lol! ujue hiyo kitu hufanyaga maziwa ya mama yanapata virutubisho muhimu kwaajili ya mtoto.
 
Dhambi unayomfanyia mkeo inakusuta ukiona hivyo

mke anastahiki heshima sana,japo nakiri evn myslf hua nakosaga uaminifu siku moja moja

yote maisha,pole mkuu
 
Jaribu kumsafirisha aende kwao kwa muda wa mwezi mmoja hivi na wewe usiende kwa huyo nyumba ndogo naamini utamtamani mkeo na siku ukionana nae utanijulisha. Usitumie mizizi tafadhari.
 
chezea ngoma ya uswazi! ishatengenezwa wewe, nakushauri umuhalalishe tu na huyo nyumba ndogo.
 
chezea ngoma ya uswazi! ishatengenezwa wewe, nakushauri umuhalalishe tu na huyo nyumba ndogo.
 

NiPM namba ya mkeo nikusaidie kazi. Kwanza ukiona hivyo ujue mkeo naye anadatishwa na mechi za ugenini ndo maana halalamiki
 

hahahhaha nishaanza ila hazina mcharuko kama za ugenini!! za ugenini muhimu sunatiiii
 
Wala usishangae....

Hapo ndio ujue sasa wewe ushakuwa MWANAUME.

Mwanaume wa kweli hushinda mechi za ugenini. Ukishinda sana mechi za nyumbani watasema refa anakupendelea.

Tafakari, chukua hatua.
 
Wala usishangae....

Hapo ndio ujue sasa wewe ushakuwa MWANAUME.

Mwanaume wa kweli hushinda mechi za ugenini. Ukishinda sana mechi za nyumbani watasema refa anakupendelea.

Tafakari, chukua hatua.

hivi unajua kwamba najitahidi sana kutafuta nyenzo itakayo nisaidia kuvuka virus barrier ili kuweza kumuua HIV??
BASI naomba nikutangazie hilo leo.
 
ewaaa! nilikuwa nakutamanije sasa? mzima wewe na matesha??
Haya, nimefika, sema neno lolote lililo ndani ya uwezo wangu....

Matesha yu buheri wa afya.... anazidi kupendeza mpaka baba yake naanza kuogopa.:madgrin:
 
hivi unajua kwamba najitahidi sana kutafuta nyenzo itakayo nisaidia kuvuka virus barrier ili kuweza kumuua HIV??
BASI naomba nikutangazie hilo leo.
Naamini utanimegea ili niifanyie majaribio. Hii mipira nayo sasa inatuwekea usiku wapenda viminyio.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…