Mechi za Simba SC kuonyeshwa Dstv

Simba haiwezi kushaka brand kisa Azam, shida ya utopolo mnajifananisha na simba wakati kawaacha mbali. Simba saizi inapambana na kutanua masoko afu nyie mnafikiri tunawaza sawa na akili zenu
 
Kama ni bure sawa dstv wataonyesha mechi zenu ila kuhusu pesa msahau majaburu hawanaga pesa za mchezo

Dstv walikuwepo miaka kibao kabla ya azam mbona hawajawahi kukupeni hizo pesa
 
Kama ni bure sawa dstv wataonyesha mechi zenu ila kuhusu pesa msahau majaburu hawanaga pesa za mchezo

Dstv walikuwepo miaka kibao kabla ya azam mbona hawajawahi kukupeni hizo pesa
tulia wewe kibwengo
 
Huna uwezo huo
 
Simba haiwezi kushaka brand kisa Azam, shida ya utopolo mnajifananisha na simba wakati kawaacha mbali. Simba saizi inapambana na kutanua masoko afu nyie mnafikiri tunawaza sawa na akili zenu
Mazoezi uwanja wa Bunju hata Timu ya kagera imekuzidi.Jitafakari acha mbwembwe huna lolote wewe kibwengo tu
 
Simba haiwezi kushaka brand kisa Azam, shida ya utopolo mnajifananisha na simba wakati kawaacha mbali. Simba saizi inapambana na kutanua masoko afu nyie mnafikiri tunawaza sawa na akili zenu
Kibwengo wewe,nyodo zote hizo mazoezi uwanja wa Bunju uliojaa magugu wachezaji wanalala gesti za kariakoo.Uwe unatafakari kabla ya kusema na ndiyo maana Rage aliwaita Mambumbumbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…