Hakafu huyu kibushuti angetukia sasa.....ana biore kinoma kuropoka topoka .....sponsor hatupo tena ......jinai haina ukomo ana mikesi yake akiwa nishati madini tufukue kaburiiHayo yamesemwa na waziri wa nishati ambae pia ni mbunge wa Chato.View attachment 1787148
Miaka yote ulivyokimbizwa umeleta faida kubwa sana. We huwezi kujua.
Mwenge haukuangaza na kuchoma mwaka jana unajua kilichompata jiwe?Una umuhimu gani? mbona mwaka jana hukukimbizwa na nchi ilienda? fungieni huko
Huyo mwenye zindiko yupo hai?Mwenge haukuangaza na kuchoma mwaka jana unajua kilichompata jiwe?
Mpaka leo ni hadithi amini usiamini hatakumbukwa kwa kosa hili.
Mwenge ndo zindiko la nchini Mara.km hujui!!
Dharau mwenge ufe kirahisi!!
Tena vibayasana mpaka kesho. Hivi ana hoji huyu ewe usiyemjua ni nani?Huyo mwenye zindiko yupo hai?
SijakuelewaTena vibayasana mpaka kesho. Hivi ana hoji huyu ewe usiyemjua ni nani?
akili nzito sana.Sijakuelewa
Mkuu kwani hukuona kwa mara ya kwanza Rais aliyeko madarakani akafariki dunia?.Una umuhimu gani? mbona mwaka jana hukukimbizwa na nchi ilienda? fungieni huko
Hakuna loloteMkuu kwani hukuona kwa mara ya kwanza Rais aliyeko madarakani akafariki dunia?.
Inawezekana hili dude ni ishara ya maagano na shetani lililofanywa na wazee wetu miaka nyuma huko.
Waksafishe na lile kaburi la meko.Hayo yamesemwa na waziri wa nishati ambae pia ni mbunge wa Chato.
Mbio za Mwenge kuhitimishwa Chato
JUMAMOSI , 15TH MEI , 2021
Mbio za Mwenge wa Uhuru kwa mwaka 2021, zenye kauli mbiu isemayo TEHAMA ni msingi wa Taifa endelevu, itumie kwa usahihi na uwajibikaji, zitahitimishwa Oktoba 14, 2021, wilayani Chato mkoani Geita.
Taarifa hiyo imetolewa Visiwani Zanzibar ambapo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Hussein Mwinyi, Mei 17 mwaka huu anatarajiwa kuzindua mbio hizo kitaifa katika uwanja wa Mwehe, Makunduchi mkoa wa Kusini Unguja.
Ambapo baada ya uzinduzi huo Mwenge wa Uhuru utaanza mbio zake chini ya vijana shupavu sita kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania ( JWTZ), kwa siku 150.
View attachment 1787148
Matumizi ya torch ni sawa na mwenge?.Wewe hujui kazi ya torch?
MwenyeweMathacko ya mama yako