Medard Kalemani & Tito Mwinuka: Collaboration Iliyoongoza TANESCO kwa Mafanikio Makubwa

Kuna watu waliwaponda wakakodi mpaka Chopa kukagua vyanzo vya umeme, walikuwa na mbwembwe matokeo yake wameharibu mazuri waliyo ya fanya wenzao.

Mwaka jana mikataba ya mabilioni ya shillingi,mama nae bila hiyana kawapa ila hamna walichofanya.
 
Hizi kampeni zingine hazina hata aibu
Mafanikio yapi?
Wateja kupata umeme miezi sita baada ya kulipia ndo mafanikio makubwa?...
Akili huna....wenzio wanaongelea kupata umeme bila mgao we unaongea pumba zako.
 
Shida ya bwana waziri mstahafu ni wale mboga mboga wanawaita "sukuma gang" na wanaogopa wakimrudisha alafu akafanya vizuri watakua wamejivua nguo na kutembea uchi hadharani
Kwani Doto Biteko anatokea wapi?!

[emoji849][emoji848][emoji850][emoji42]
 
January Yusuf Makamba ameharibu sana Tanesco ,,,

Na huyo mwenzake Maharage Chande kwakeli ndio Maharageeeee kabisaaaa!!

Naona mama samia ameshaona hali halisi na amekubali kushindwa kwa watoto pendwa wake wakina Makamba,,, mpaka kuwarudisha sukuma gang kazini wakina Doto Biteko maana yake amekubali ukweli kwamba hali ni mbaya na wale aliowaamini yeye kazi wameshindwa said ya kuharibu na kufisadi shirika la Tanesco!! Ikabidi aanze kuwapangua kuanzia Makamba mpaka Maharage!!

Doto Biteko kaziniiiii...!! Japo kapokea shirika likiwa hoi bin taabani kwakweli Biteko kazi anayo!! Pole sana kwake na kwa watanzania wote kwa ujumla!!
 
Boss,utakuwa na dola elfu nne hapo unirushie kwenye radio-call/walkie talkie yangu?Mambo ya bandarini huku.Mkufu wa shangazi yako wameuzuia hapa.Fanyafanya basi boss!🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…