Meddie Kagere ajiunga na Singida Big Stars.

Meddie Kagere ajiunga na Singida Big Stars.

Kagere ni mzuri kuliko hata Makambo,akiaminika huyu mwamba atasumbua sana hasa kwa uzoefu alionao kwa ligi yetu
 
Hakuna mtu arajutia fursa kama mpole,alitakiwa na Simba,Yanga na Azam akachomoa,guarantee ya kuwa mfingaji bora kwa mara nyingine akiwa geita hold haiopo,magoli yenyewe aliyokuwa akifunga ya ajabu ajabu tu na asipokuwa mfungaji bora tena ajue soko lake limeisha atajikuta yuko namungo,kwa umri wake alitakiwa achangamkie fursa,raha ya supu iliwe ikiwa ya moto
Aliogopa bench, nadhani hakuwa na uhakika na ubora wake ikifika suala la competition ya namba
 
Akiongea na Sport Arena msemaji wa Singida Big Stars kathibitisha hilo.

Wakuu mnamwonaje Kagere ndani ya Singida , ataleta usumbufu kwenye mfungaji bora?
KAGERE KASHAZEEKA ANAENDA KUSTAAFIA PALE
 
Back
Top Bottom