Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watalia na kugaragaraTanzania ni nchi nzuri sana, ukitaka kuamini kawaambie wahindi wasio na uraia warudi kwao.
Hussein Massanza na Singida big stars mfikirieni Kagere kama ana-fit kwenye mipango yenu.Kweli bongo tamu,machozi yamemtoka akipewa mkono wa kwa heri na Simba ila amesema haondoki bongo atapambana apate timu hata kama ni championship league
KabisaNaamini kagere akisajiliwa na Wananchi anaweza kufunga zaidi ya magoli 10 kwa msimu
Hii taarifa sio ya kweliKweli bongo tamu,machozi yamemtoka akipewa mkono wa kwa heri na Simba ila amesema haondoki bongo atapambana apate timu hata kama ni championship league
Kivipi bosiHii taarifa sio ya kweli
Ushindi hamfikii kagere uko sahihiKagere akienda Yanga hata atokee benchi kwa nafasi wanazotengeneza Yanga za ufungaji kwa timu pinzani, Kagere hawezi kosa magoli, Kagere huwezi mfananisha na Ushindi, Ushindi wa Yanga ni mbovu kuliko Kagere.
HahahaWatalia na kugaragara
Source gan mkuu ??Kivipi bosi
Uko poli gan boss mi nipo mwine hapa nimetoka kutoa mganyalo wa keshoKuna kanjubahi mmoja tuko naye machimboni Kahama wamekuja mpaka familia yake kumfuata kawakatalia katakata kurudi Mumbai, kasema duniani hamna nchi tamu kama Tz, chukulia huyo anaishi pori na intruders, ndo akubari kagere aliyezoea starehe za Dar?
DTB sio scrap yard ya kupokea vyuma chakavuHussein Massanza na Singida big stars mfikirieni Kagere kama ana-fit kwenye mipango yenu.
Wewe ndiye msemaji wao ?DTB sio scrap yard ya kupokea vyuma chakavu
CEOWewe ndiye msemaji wao ?