Sasa si uache kusoma.kwani umelazimishwa? Watu wanapeana taarifa wewe unaumiaje sasa? Kuna majukwaa mengi chagua jukwaa la entertainment uburudishwe. Usipangie watu cha kupost.Mnapenda sana hizi taarifa za misiba sijui mnafurahia ama? So boring
Unapimaje kujua watu wanapenda hizi taarifa?Mnapenda sana hizi taarifa za misiba sijui mnafurahia ama? So boring
Inakera kinyama, mtu akisikia msiba tu anawahi JF kuanzisha uzi.Mnapenda sana hizi taarifa za misiba sijui mnafurahia ama? So boring
Mmh! wanapenda!? Fafanua kidogo.Mnapenda sana hizi taarifa za misiba sijui mnafurahia ama? So boring
Kwa hiyo unataka rais afanye nn?Apumzike kwa amani.
Ila kwa vifo hivi Mh. Rais kwa kujua au kutojua kwako unatukwaza sana mheshimiwa.
Kwanini unatufanyia hivi kweri?
Hadi afe nani? Au hadi tufe wangapi?
Uliandika "can buy" badala ya "can not buy life"Sema kweli? Nilitakiwa nisemeje? Naona aibu sana. Ila Medi hatunaye.
Money CAN'T buy.....Sema kweli? Nilitakiwa nisemeje? Naona aibu sana. Ila Medi hatunaye.
Mwenzako akinyolewa, chako tia maji.
Inakera kinyama, mtu akisikia msiba tu anawahi JF kuanzisha uzi
Matangazo ya vifo ni biashara nzuri Sana TBC. Wao ndio tv pekee inakula pesa ya walio peponiMnapenda sana hizi taarifa za misiba sijui mnafurahia ama? So boring
Matangazo ya vifo ni biashara nzuri Sana TBC. Wao ndio tv pekee inakula pesa ya walio peponi