TANZIA Medi wa Ngara Oil afariki Dunia

TANZIA Medi wa Ngara Oil afariki Dunia

Na wewe soma comments zangu vizuri kisha ukurupuke kujibu. Kati ya kifo na corona kipi kilianza?
Soma comment yangu vizuri, Kisha jiulize umeandika mashibhobho gani? Kati ya Corona na biashara ya matangazo ya vifo TBC kipi kilianza?
 
Soma comment namba tano halafu uje uandike pumba tena. Acheni kufurahia vifo vya wenzenu kisingizio wendazake ni watu mashuhuri
Lakini mkuu kwenye huu uzi hakuna mahali imetajwa corona, huyu mleta taarifa nadhani kaleta huu uzi huenda mwendazake ni mtu mashuhuri ili umma ufahamu
 
Apumzike kwa amani.

Ila kwa vifo hivi Mh. Rais kwa kujua au kutojua kwako unatukwaza sana mheshimiwa.

Kwanini unatufanyia hivi kweri?

Hadi afe nani? Au hadi tufe wangapi?
Mh.Rais amekataza lini watanzania kuchukua tahadhari unataka rais akuingize kwenye chandarua,rais akuvalishe condom mwishowe utataka rais akuvushe hata barabara
 
Apumzike kwa amani.

Ila kwa vifo hivi Mh. Rais kwa kujua au kutojua kwako unatukwaza sana mheshimiwa.

Kwanini unatufanyia hivi kweri?

Hadi afe nani? Au hadi tufe wangapi?

Sasa unataka raisi afanye nini ndugu yangu au hujui mwanadamu lazima siku moja urudi kwenye udongo ulikotoka na hakuna njia nyengine tofauti na kufa,tusi-panic kuna vitu lazima vitokee ili ulimwengu uende sawasawa.

Nakuhakikishia kama leo tu ungepata takwimu za waliokufa kwa ajali usingehangaika na hawa walioitwa kwa njia za asili,sisi kuna vitu vinatuuwa kama malaria,ajali Watanzania wengi tupo frustrated hela hatuna maisha mabovu hivi ndo vinapaswa vituweke busy tusijifananishe na watu wengine.
 
Apumzike kwa amani.

Ila kwa vifo hivi Mh. Rais kwa kujua au kutojua kwako unatukwaza sana mheshimiwa.

Kwanini unatufanyia hivi kweri?

Hadi afe nani? Au hadi tufe wangapi?
SASA unasahau Rais ni Binadamu kama wewe nae anapumua kwa kudra za Mungu...Hapa ni kila mtu ajihami kivyake..Usitegemee Mwanadamu Mwenzio akusaidie.
 
Sasa unataka raisi afanye nini ndugu yangu au hujui mwanadamu lazima siku moja urudi kwenye udongo ulikotoka na hakuna njia nyengine tofauti na kufa,tusi-panic kuna vitu lazima vitokee ili ulimwengu uende sawasawa.

Nakuhakikishia kama leo tu ungepata takwimu za waliokufa kwa ajali usingehangaika na hawa walioitwa kwa njia za asili,sisi kuna vitu vinatuuwa kama malaria,ajali Watanzania wengi tupo frustrated hela hatuna maisha mabovu hivi ndo vinapaswa vituweke busy tusijifananishe na watu wengine.

Kwamba afanye nini mbona yameelezwa sana?



Kwa ufupi awaache wataalamu wa afya watuvushe. Asiwaingilie. Watatuvusha.

Kwanini ni vigumu kwenu kuyaona haya?
 
Uliepanic ni wewe.Na wewe kwann unataka kukataza tusiandike tutakayo?
Hahahahaha .....usipac sana! Sasa kama mtu ana haki ya kutoa maoni kwanini mnataka kukataza watu kutoa taarifa ya vifo? Huo ni Uhuru wao pia. Wachenj.
 
SASA unasahau Rais ni Binadamu kama wewe nae anapumua kwa kudra za Mungu...Hapa ni kila mtu ajihami kivyake..Usitegemee Mwanadamu Mwenzio akusaidie.

Rais si mwanadamu mwenzio. Rais ni binadamu tuliyempa dhamana ya kutuhami katika majanga kama haya. Ndiyo maana tunalipa kodi.

Tulipo sasa anapaswa kutumia kodi yetu kutuhami.

Huu ugonjwa unataka mabarakoa, kunawa nawa mikono, social distance na kuwahami walioko hatarini.

Tuna rais asiyetaka kuwahami walio hatarini. Hataki kujihusisha na lolote na ugonjwa huu zaidi ya kuongopeana:

 
Mh.Rais amekataza lini watanzania kuchukua tahadhari unataka rais akuingize kwenye chandarua,rais akuvalishe condom mwishowe utataka rais akuvushe hata barabara

Mh. Rais amekuwa akisema hadharani corona haipo wakati ipo.

Moshi mkurugenzi wa halmashauri kaamuru madiwani kuvua barakoa.

Huu ugonjwa unataka mabarakoa, kunawa nawa mikono, social distancing na kuwahami walioko Hatarini zaidi.

Dar wameonyesha njia:


Wapi tunapomtaka kutufanyia lolote?

Anatukera kwa sababu hataki kukubali ugonjwa upo. Matokeo yake anadhoofisha juhudi za watu kujilinda na hivyo kutolinda wengine pia.

Hataki kuwahami walioko hatarini.

Kimsingi hataki kujihusisha na huu ugonjwa. Hataki kuwaachia wataalamu wa afya kuongoza vita dhidi ya ugonjwa huu hali yeye si mtalaam wa magonjwa.

Sisi kama walipa kodi kwa misimamo yake hii kwa hakika inatukwaza sana hasa tunapoona watu wakifa kwenye mazingira yaliyowezekana kabisa kuzuilika.
 
Back
Top Bottom