Kwangu naona imekaa poa. Ina faida kwa watangazaji wenyewe ambao kwa muda mrefu wamekuwa wakilalamika kuwa na maslahi duni kwenye fani hiyo.
Baada ya Efm kuwavunjia Wasafi Tv & Fm kipindi cha Sunday Worship kwa kuwachukua Lilian Mwasha & Masanja, sasa Wasafi nao wamefanya REVENGE kwa kuwachukua watangazaji nyota wa kipindi cha Joto la Asubuhi, Maulid Kitenge & Gerald Hando.
Ngoja tusubiri Efm watakuja na "CounterAttack" ipi.
View attachment 2592847
View attachment 2592849
View attachment 2592850
View attachment 2592851