Media tour ya Mbosso sijaielewa kabisaa

Media tour ya Mbosso sijaielewa kabisaa

Watanzania wengi mna asili ya uchawi.

Kwanini mnaamini kumshusha Aslay ndiyo kutampandisha Mbosso??
 
Ruge na shigongo ndio watu waliomfanya Diamond awe alipo sasa kama wewe ni mfuatiliaji wa muziki hilo utakuwa unalipata vema ruge ndiyo alikuwa anamiandalia Diamond vitu vya tofauti kama show ya Diamond forever, connection za kuimba BBA , kipindi kile tale alikuwa meneja kivuli mtumikakati alikuwa ni ruge. Upande wa ahigongo kumbuka alivyokuwa anaandaa show dar live huku akizipa promo mwezi mzima na kumpa jamaa offer mara kuingia uwanjan na helcopter mara lift ukumbini

Sema nini dogo baada ya kurubuniwa na mako ndipo shida ilipoanza


Ndio, Ruge ndio alikuwa anamuandikia nyimbo na Shigongo anatengeneza beat hahaha. Hii tabia ya wabongo kusubiri uwe na mafanikio ili wajiaminishe wamekusaidia tumeishaizoea, maana hata waliokutuma ukawawashie sigara na wao wanajisifia wamekulea .
 
Clouds mwisho wao ni WCB Radio na Tv apo ndio clouds wanapotea jumla
Mkuu[emoji28][emoji28]ukiongea hivyo uitafakari nguvu ya clouds. pia wale wanazi wa KING unafikiri watasikiriza.....

Mfano hapa Upande ule wa pili wa King wanaunga mkono upande wa Clouds
 
Jamaa anafanya tour kwenye redio zisizo na nguvu kabisa tena vya mikoani kabla hata za Dar esa salaaam hajazimaliza mara abood fm rasi fm maisha fm tatizo ni nini hivo ivi redio havina impact kabisa kwenye industry mimi nilitegemea angeaza na clouds, efm rfa kissfm ea radio

Kwa style hii jamaa naona zile ndoto za kumfunika aslay zinafifia
Ni kama vile umepanic,hujawahi kuishi mkoani wewe,kilosa na anaipata clouds?
 
Jamaa anafanya tour kwenye redio zisizo na nguvu kabisa tena vya mikoani kabla hata za Dar esa salaaam hajazimaliza mara abood fm rasi fm maisha fm tatizo ni nini hivo ivi redio havina impact kabisa kwenye industry mimi nilitegemea angeaza na clouds, efm rfa kissfm ea radio

Kwa style hii jamaa naona zile ndoto za kumfunika aslay zinafifia
Uku umsikiia kwny shoo ya kimataifa the playlist inayohostiwa na mtangazaji wa kimataifa the MVP Lil Ommy
 
Ruge kwanini hizo show hakuwaandalia watu wake wakina Barnaba, Amin, Ditto? Jiulize kidogo basi....
Au kwann asije kuwafanyia wasanii wetu wadogo yani wanaochipukia mpk amfuate jay dee na wengine wengi aliyogombana nao shida ruge anatafutia kazi wasanii shida inakuja pale kwenye kitu cha wachaga(PESA) mtu anapiga kazi kama msukuma analipwa hela ya mzaramoo
 
Hawawezi kumfunika Aslay...labda wanafanya kivyao vyao tu.
 
Mi naona nguvu kubwa inatumika kumzika Aslay,
 
Jamaa anafanya tour kwenye redio zisizo na nguvu kabisa tena vya mikoani kabla hata za Dar esa salaaam hajazimaliza mara abood fm rasi fm maisha fm tatizo ni nini hivo ivi redio havina impact kabisa kwenye industry mimi nilitegemea angeaza na clouds, efm rfa kissfm ea radio

Kwa style hii jamaa naona zile ndoto za kumfunika aslay zinafifia
Hawawez mshusha aslay kwa upande wangu maana yule dogo anajua kuimba then kashapata mkono wa ruge basi tena
 
WCB ni label. Ruge hana label.
 
Mbona Abood ni radio kubwa tu huko kwengine ni bora watu waache kupategemea sana ili kubalance mzani na kuweka game sawa
 
Hakuna haja ya media mbona interview zinawekwa youtube viewers zinafika hadi 4millions
 
Back
Top Bottom