Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiri kwanza kwamba aliyosema ni ukweli au la ndipo uunganishe na hoja yako hii 'mpya'Yote haya unayanena kwasababu kura hazikutosha upande wa chadema, laiti Kama zingetosha Wala usingesema
Bila kupita TRCA na 1m hawatoboi halafu...%kubwa ya hao watu wanaopenda kujiita waandishi wa habari wengi wao wamezoea kuajiriwa hawana uwezo wakusimama wenyewe! niambie Mtu kama TIDO na exposure yake kaishia kuwa Mkurugenzi anaechaguliwa cha kurusha hewaniWatafungua Youtube Channels[emoji28]
Mimi nitanunua tu kwani kuna vitu muhimu kama matangazo ya tenders matangazo ya kupotelewa vitu, hati za watu kuitwa kwenye mashauri nafasi za kazi matoleo maalumu taarifa za kibenki kila robo mwaka nk bila kusahau kusoma nyota
Magazei yale sidhani kama ni ya Musiba,jaribu kufuatilia.Ya Cyprian Musiba inazidi kushamiri na ana mpango wa kufungua TV station.
Mzalendo gazeti bado lipo? Kwa ujumla hakuna uhuru wa habari Tanzania. Hata taarifa kwenye tv hazina mvuto. Ugomvi wa wataka kuendelea kuangalia tamthilia au mpira na wanaotaka taarfa ya habari haupo tena.Wakaulize gazeti la uhuru lina wateja kiasi gani?Msimu huu wao na uhuru hawana tofauti!
😲 Mmmh!, Unazielewa kanuni na maudhui ya tcra juu ya kuwa na YouTube channel ya habari?Watafungua Youtube Channels[emoji28]
HahahahahahahahahaNdani ya Se
Ndani ya Sentensi ulizoandika naona kabisa kuwa hata Kampuni huna ,sembuse kufuatilia tender!