Medical check up hii imenishangaza!

Medical check up hii imenishangaza!

Mkuu Invisible wala huna sababu ya kuogopa hiki kipimo,ni kati ya vipimo vya kawaida kabisa.Wanasema kawaida ukifikisha miaka 50 lakini mimi nakushauri mkuu kama ushafika 40 basi nenda kamuone daktari wako akufanyie pamoja na serum PSA levels kwa ajili ya prostate diseases hasa prostatic carcinoma manake ni tatizo kubwa sana la jinsia yetu na wanasema the earlier the diagnosis the betta the prognosis after treatment.
Fanya hima mkuu for ur own sake

Thanks P'

Hii ha kuanzia 40 years ni msingi zaidi, Kuna haja ya msingi ya kutoa hii elimu maana kwa tanzania hili bado halina mwamko, na pia kuna dhana potofu kwamba wengi wenye enlarged prostate ni mabasha!!

nadhani kuna haja ya mass public education ambayo itahamasisha hata akina mama kuhakikisha wanaume zao wanachekiwa ili wasiwatese badae. Movements kama za cervical na breast cancer zinahitaji kuigwa hasa kwa sie tulio katika emergency health care system muda wote [poor countries].

Je sasa kwenye serum PSA, tuna vitendea kazi kweli?

Mleta mada amenifurahisha sana kwa kuleta hii mada maana kuna mengi kuhusu afya ya msingi huwa hatuyatupii macho

MTM
 
Medical checkup ni HEAD to TOE, na lazima uvuliwe nguo zote na kuchekiwa matundu yote mwilini, pamoja na system zote.
 
Huyo dokta ni mzuri sana anajua sikuhizi kuna matatizo ya nguvu za kiume,ndio maana kakucheki kuhakikisha kuwa kila kitu upo sawa au laa,angekuta mambo sio safi angekuandikia dozi ya kifaru au Cupid!!
 
Thanks P'

Hii ha kuanzia 40 years ni msingi zaidi, Kuna haja ya msingi ya kutoa hii elimu maana kwa tanzania hili bado halina mwamko, na pia kuna dhana potofu kwamba wengi wenye enlarged prostate ni mabasha!!

nadhani kuna haja ya mass public education ambayo itahamasisha hata akina mama kuhakikisha wanaume zao wanachekiwa ili wasiwatese badae. Movements kama za cervical na breast cancer zinahitaji kuigwa hasa kwa sie tulio katika emergency health care system muda wote [poor countries].

Je sasa kwenye serum PSA, tuna vitendea kazi kweli?

Mleta mada amenifurahisha sana kwa kuleta hii mada maana kuna mengi kuhusu afya ya msingi huwa hatuyatupii macho

MTM


Mkuu mimi huwa nawasisitizia sana ndugu,jamaa na marafiki zangu kuhusu umuhimu wa hii kitu hata kama hakuna historia ya prostatic adenocarcinoma katika familia.Ukweli wengi hawajui na matokeo yake wanakuja kugundulika wakati ishasambaa kwenye mifupa na kwingineko na hivyo inakuwa vigumu kui manage na kutoa clinical outcome nzuri.Tuanze kuhimizana sisi hapa na kwa ndugu zetu,jamaa na marafiki.Nao wasambaze taarifa.Mwisho tutawafikia wengi na kuokoa maisha ya wengi.Tusingoje serikali mkuu!
 
Mkuu mimi huwa nawasisitizia sana ndugu,jamaa na marafiki zangu kuhusu umuhimu wa hii kitu hata kama hakuna historia ya prostatic adenocarcinoma katika familia.Ukweli wengi hawajui na matokeo yake wanakuja kugundulika wakati ishasambaa kwenye mifupa na kwingineko na hivyo inakuwa vigumu kui manage na kutoa clinical outcome nzuri.Tuanze kuhimizana sisi hapa na kwa ndugu zetu,jamaa na marafiki.Nao wasambaze taarifa.Mwisho tutawafikia wengi na kuokoa maisha ya wengi.Tusingoje serikali mkuu!

Probably its a high time kwa akina baba nao wapate media campaign za nguvu kuweka mambo sawa, i would start with MAT kuona kama wana muelekeo siku hizi maana walipoanza kupanda ndege, wakaanza na kutimuana

Otherwise we may use hao hao TAMWA na kuita TAMWA PLUS campaign, kwani watesekao zaidi wakati wa kusaidia wagonjwa ni akina mama
 
dah hiyo kampeni mbona itakuwa kali?,

"haya shime kina baba msiogope kutiwa kidole
ni kipimo tu na unaweza okoa maisha yako".

astagafulai! kama unapita na kipaza sauti lazima upopolewe
mawe mtaani. yaani vipimo vingine bana! vinakatisha tamaa.
 
Nakumbuka wakati nipo form two nilikua napata maumivu sana ya pumbu, sasa nikasema ngoja nisikilizie siku 2 nikaona ndio nazidi kuumwa. Sasa pale shule nurse ni mama, nikawa najiuliza je niende nikamwonyeshe ndulenge zangu? Nilipoona hali ni mbaya nikaenda mwenyewe na kumweleza tatizo langu. Basi aliniambia nivue nguo, nikavua na akazishika hizo ndulenge na mduu pia, hatimaye akaniandikia dawa za kumeza. Sikuamini, baada ya siku 2 nikawa nimepona kabisa. Sasa jamani msiogope kuchekiwa, maana hata huwa mtalimbo huwa na magonjwa, msiwahisi vibaya madaktari wenu, hiyo ni moja ya kazi. kwani hizo sehemu za siri sio part ya body yako? Na pia haikuna haja ya kuzichek?
 
Daktari anaweza alikuwa sahihi. Kuna testicular cancer ,hivyo kushika testicles ilikuwa sahihi. Pia kushika uume alikuwa anaangalia kama kuna dalili za magonjwa ya zinaa kama vile kutokwa usaha uumeni au kuwa na vipele.

Kuna kipimo kingine kinachoitwa Per Rectum examination (PR) kinahusu kutiwa kidole kwenye njia ya haja kubwa kuangalia Prostate na njia ya haja kubwa. Hiki ni kipimo kinachotakiwa kufanyika "routine" pia.

Mwisho, Daktari alitakiwa kukupa maelezo ya kina kabla ya kukushika sehemu zako za siri.
Nawasilisha.
Kuna daktari mmoja alikua anzuzungumzia hiki kipimo cha PR aksema usiombe ukutane na madaktari ambao wapo field utakoma, kama wapo watano kila mmoja atataka kukutia kidole, ukitoka hapo lazima uwe shoga, hahahahaaaaa
 
Probably its a high time kwa akina baba nao wapate media campaign za nguvu kuweka mambo sawa, i would start with MAT kuona kama wana muelekeo siku hizi maana walipoanza kupanda ndege, wakaanza na kutimuana

Otherwise we may use hao hao TAMWA na kuita TAMWA PLUS campaign, kwani watesekao zaidi wakati wa kusaidia wagonjwa ni akina mama

Nakumbuka kulikuwa na ile kitu MEWATA ya kina mama kucheki breast cancer walikuwa wanatumia ITV kukusanya michango siku zile.Labda madaktari wanaume au ma urologists/oncologists nao waanzishe campaign kama hii.
Kama una uwezo wa kuwafikia mkuu wahamasishe.
 
Back
Top Bottom