hooligan01
JF-Expert Member
- Nov 21, 2013
- 664
- 539
Samahanini wandugu humu,
Nilipenda kuuliza katika kuomba kazi kabla ya mkataba kuna iki kipengele kabla ya kupewa mkataba ni cha medical checkups hivi ni wanaangalia nini na nini katika hiyo checkups lyk magonjwa specifia au full kila kitu au physical checkups like blood group,uwezo wa macho nk...na je wanafanya kampuni husika au wanakukabidhi form tu uendenayo hospital wewe?
Nilipenda kuuliza katika kuomba kazi kabla ya mkataba kuna iki kipengele kabla ya kupewa mkataba ni cha medical checkups hivi ni wanaangalia nini na nini katika hiyo checkups lyk magonjwa specifia au full kila kitu au physical checkups like blood group,uwezo wa macho nk...na je wanafanya kampuni husika au wanakukabidhi form tu uendenayo hospital wewe?