Medical Council of Tanganyika (MCT) na ubaguzi kwa Wazanzibar

Medical Council of Tanganyika (MCT) na ubaguzi kwa Wazanzibar

Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Madame SSH
Atawafungulia Yote
 
Nyie wenyewe wabaguzi kwa watu wabara kuliko maelezo, Mtu kutoka bara kwa unguja kufanya kazi kwa level ya meneja ni zaidi ya kuwa adui . Wakenya wanafanya kazi kwa amani kuliko sisi ndg zenu wa bara au Tanganyika kama mnavyopenda kutuita. Usimweleze chochote staff kesho yake utaona coaster nzima na watu kibao wanakujia na lugha nyepesiii eti umesema hutaki kufanya kazi na wazanzibar,
Alafu mnalia kubaguliwa wakati mmejazana huko bara, ukienda Kigamboni huko utafikiri Mwera, au machui, au jambiani.
Acheni kutumia lugha za ubaguzi kila kitu tunabaguliwa, wewe kama Dr umesjindwa hata kupiga simu ukauliza na kupata maelezo sahihi unakimbilia huku mitandaoni.
Aisee mimi na wamaindi sana make mlininyanyasa huko kwenu, mara siyo mtanzania, mara sijui nini kisa tu nimeajiriwa kutoka bara, ili hali kuna watu kutoka sehemu mbalimbali na wanafanya kazi, wakenya,waganda,wacuba,wahispania, nk lkn sisi wa kutoka bara hamtaki kutisikia
Hivi hamwezi kuanzisha MCZ?
 
Muosha akioshwa, wazenj wa Unguja mnabagua SANA, hampendi wabara wala wapemba.
Vumilieni tu, sisi mbona tunawavumilia mnavyotubagua? Na tunabakia kwetu bara.

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Tukisema Wabara hawaajiriwi Zanzíbar inakiwahaileti picha kamili, ninao ushahidi wa Wabara kibao kwenye smz hususan vikosi vyao, kama jawaajiriwi ilikuwaje Mwinyi (baba) na Jumbe wakaupata uraisi ?
Sisemi kuwa ni rahisi, ila wapo na wanaendelea kukiwepo , ushahidi UPO na Wazanzibari wenyewe wanalijua hilo.
Unashindwa kuelewa kuwa hao ni wabara ambao wapo muda mrefu pale zanzibar pengine tokea utoto wao au walizaliwa hapo lakini asili yao ni wabara.

Si umeona mzee mwinyi alienda zenji akiwa na miaka mi4 tu hii ni kuonesha kuwa alienda zamani akazowea akawa mwenyewe wa huko hivyo kupata ukaazi ni rahisi.

Wazenji mnaweza kuja huku mkapata kazi vizuri tu hata kama hukuzaliwa huku.

Ila nenda zenji alafu soma matangazo ya kazi utaskia mara uwe na kitambulisho cha mzanzibari mkaazi.

Na hiko kitambulisho sharti ukae zaidi ya miaka minne ndo upate
.
Kwa aliyetoka bara wiki iliyopita kuja kuomba kazi zenji anapataje hiko kipande ?

Kuna rafk amgu yuko zenji anakazi yake ya Muungano aliniambia kuwa ametafuta kipande cha mzenji mkaazi kazungushwa hajapata.

Huu kama si ukhanithi ni nini ?

Ila wabara hawa hawa wakikaa huko zenji miaka na miaka wanajiona wazenji alafu wanaamza kuwabagua wabara wenzao.

Kwa tafiti ndogo niliyoifanya nimegundua kuwa katika kila wazenji 10 basi 7 kati yao wana asili ya bara ama wazazi wao ama babu zao.

Waunguja bara mnakuwa favoured sana aisee.

Ninao friends zangu waunguja tele wanasema zenii hawarudi wako na mishe zao bongo.

Ukiona mbara kapata kazi zenji basi jua huyo ana mambo matatu.

1.kazaliwa huko ama yuko muda mrefu
2.kazi private
3.ana mkubwa kampenyeza.

Tafuta mbara ambae kapata kazi ya serikali katika mambo yasiyo na muungano utagundua kuwa hili lipo sana tu.
 
Siongei kwa kufurahisha jukwaa bali naongea yalionikuta mimi mwenyewe, ofisi yangu iliamia kwenye ofisi za serikali, kuanzia kwa shekha mpaka kwa Commissioner. Hivo wewe amini tu hivo, Mzanzibar anafungua bar na anauza pombe, wewe kutoka bara ukufungua bar au restaurant eneo lile lile unaambiwa hii ni nchi ya kiislam sasa unabaki unajiuliza hivi hawa watu wanajua huyu Mungu wanaye mtumikia au wanatumikia dini yenye lugha ya fulani. Zanzibar ukitaka uishi vizuri labda uwe kibarua na usiyeingilia masilahi yao wakuite mnyamwezi basi.
Nimewahi kushudia mtu amegongwa na gari na hajafa anaomba msaada lkn wanakuja wanachungulia tu nakusema huyu ni mnyamwezi, unabaki unajiuliza mnyamwezi siyo mtu? Siyo binadamu?
Kuna rafiki yangu ana kampuni ya Safety na Risk assesment aliwahi kupata tenda kukagua usalama wa minara ya simu ya kampuni fulani, kuanzia bara mpaka Unguja lakini kwa Unguja ilishindikana, ikabidi aingie tena ubia na kampuni iliyoko Unguja. Hawa watun wanafursa nyingi sana lakini haziwatumii wamekalia chuki, majungu na ubinafsi. Wapemba wanamaendeleo kulikuwa wazawa wa unguja.
Ukiwa bara unaweza kuamini kwamba kuna Muungano lakini ukija huku unagundua muungano upo kwenye makaratasi. Mimi nimewahi kukamatwa mara kibao nnikiendesha gari kwa kutumia leseni ya Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania, naambiwa natakiwa niwe na leseni ya Zanzibar. Mimi situmii leseni ya Tanganyika natumia leseni ya JMT nakamatwa na askari polisi ambaye ana nembo ya JMT, does it make sense?
Mkuu acha tu, Mimi Kama wewe Kuna siku police kanihoji kwa nini natumia leseni ya JMT ?nikamjibu leseni yangu inaniruhusu kutumia Tanganyika na Zanzibar.Na Mimi nikamuliza wewe Afande unalipwa na JMT au SMZ,akanijibu nisimfundishe kazi na Mimi nikamwambia leseni sibadilishi labda aombe muungano ivunjwe na wewe ulipwe na SMZ hapo nitabadilisha.

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Nafahamu kwamba swala LA afya sio issue ya Muungano, ila lwanini sisi Wazanzibar tuliokuwa hatuna leseni za MCT mmefunga mfumo wenu wa usajili?

Mnajua kabisa usipokuwa na l
Leseni ya MCT huwezi kuomba hizi ajira mpya sasa kwanini msitufungulie tuombe?

MCT acheni hujuma, hizo ajira kila MTU ana haki ya kuomba tufungulieni system tuimbe leseni
Wanzazibar mfunguliwe maana ni watanzania kama wengine. Ole nikienda Zenj mtu anisumbue...maana nyie watu hamueleweki kabisa 😂 😂 😂 😂 😂
 
Hivi vijamaa ni vipumbafu na vijinga..anzisheni medical council ya zanziber..msitusumbue kupe nyinyi mliojaa ubaguzi..m naomba tuchague moja either tuvunje muungano au kuwe na serikli moja tu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Le
Siongei kwa kufurahisha jukwaa bali naongea yalionikuta mimi mwenyewe, ofisi yangu iliamia kwenye ofisi za serikali, kuanzia kwa shekha mpaka kwa Commissioner. Hivo wewe amini tu hivo, Mzanzibar anafungua bar na anauza pombe, wewe kutoka bara ukufungua bar au restaurant eneo lile lile unaambiwa hii ni nchi ya kiislam sasa unabaki unajiuliza hivi hawa watu wanajua huyu Mungu wanaye mtumikia au wanatumikia dini yenye lugha ya fulani. Zanzibar ukitaka uishi vizuri labda uwe kibarua na usiyeingilia masilahi yao wakuite mnyamwezi basi.
Nimewahi kushudia mtu amegongwa na gari na hajafa anaomba msaada lkn wanakuja wanachungulia tu nakusema huyu ni mnyamwezi, unabaki unajiuliza mnyamwezi siyo mtu? Siyo binadamu?
Kuna rafiki yangu ana kampuni ya Safety na Risk assesment aliwahi kupata tenda kukagua usalama wa minara ya simu ya kampuni fulani, kuanzia bara mpaka Unguja lakini kwa Unguja ilishindikana, ikabidi aingie tena ubia na kampuni iliyoko Unguja. Hawa watun wanafursa nyingi sana lakini haziwatumii wamekalia chuki, majungu na ubinafsi. Wapemba wanamaendeleo kulikuwa wazawa wa unguja.
Ukiwa bara unaweza kuamini kwamba kuna Muungano lakini ukija huku unagundua muungano upo kwenye makaratasi. Mimi nimewahi kukamatwa mara kibao nnikiendesha gari kwa kutumia leseni ya Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania, naambiwa natakiwa niwe na leseni ya Zanzibar. Mimi situmii leseni ya Tanganyika natumia leseni ya JMT nakamatwa na askari polisi ambaye ana nembo ya JMT, does it make sense
Je leseni Yao huku inatumika ? Hilo ni moja Kati ya changamoto (Kwa maoni yangu) , Mimi niliwahi kukaa Arusha ila nao (baadhi yao walinibagua) je MACHUGA wote wabaguzi ? Nilikaa mara mbili kule kifuatilia ishu fulani hivi, na kuna mshkaji wangu mmoja karibia wamtie matatizoni kwa kusema si raia 'a jamaa ni Mzaramo wa Ruvu....
 
Le

Je leseni Yao huku inatumika ? Hilo ni moja Kati ya changamoto (Kwa maoni yangu) , Mimi niliwahi kukaa Arusha ila nao (baadhi yao walinibagua) je MACHUGA wote wabaguzi ? Nilikaa mara mbili kule kifuatilia ishu fulani hivi, na kuna mshkaji wangu mmoja karibia wamtie matatizoni kwa kusema si raia 'a jamaa ni Mzaramo wa Ruvu....
sio kweli huku bara hakuna mzanzibar anasumbuliwa kwa lolote mnanunua ardhi mnafungua maduka na tunawaunga mkono hadi kuna msemo maarufu dukani kwa mpemba au mchaga manake mko wengi huku
 
sio kweli huku bara hakuna mzanzibar anasumbuliwa kwa lolote mnanunua ardhi mnafungua maduka na tunawaunga mkono hadi kuna msemo maarufu dukani kwa mpemba au mchaga manake mko wengi huku
Mi si Mzenji ni MTU wa pwani, nakwambia yaliyonikuta Mimi na mshkaji wangu Arusha kwenye mishe za maisha..... Sasa hivi mshkaji wangu kapata bahati yupo Zenji ana kiji Lodge chake ..... Wacha tupige kelele tu (Zanzíbar naijua vizuri tu ). Ukijifanya WA mjini hutowezana nao kabisa !!! Mi nina kijumba changu huko (Nungwii) !! Natarajia msimu WA utalii ukianza nikodishe wageni....
 
Mi si Mzenji ni MTU wa pwani, nakwambia yaliyonikuta Mimi na mshkaji wangu Arusha kwenye mishe za maisha..... Sasa hivi mshkaji wangu kapata bahati yupo Zenji ana kiji Lodge chake ..... Wacha tupige kelele tu (Zanzíbar naijua vizuri tu ). Ukijifanya WA mjini hutowezana nao kabisa !!! Mi nina kijumba changu huko (Nungwii) !! Natarajia msimu WA utalii ukianza nikodishe wageni....
Wewe Mzenji unajifaragua tu! Hakuna wabaguzi kama waunguja hapa duniani
 
sio kweli huku bara hakuna mzanzibar anasumbuliwa kwa lolote mnanunua ardhi mnafungua maduka na tunawaunga mkono hadi kuna msemo maarufu dukani kwa mpemba au mchaga manake mko wengi huku

Kwa hayo maelezo yenu basi kusingekua na wabara Zenj mana hawana Amani ya kukaa, Lakini mbona wamejaa tele? achene kusambaza propaganda za uwongo
 
Nafahamu kwamba swala LA afya sio issue ya Muungano, ila lwanini sisi Wazanzibar tuliokuwa hatuna leseni za MCT mmefunga mfumo wenu wa usajili?

Mnajua kabisa usipokuwa na l
Leseni ya MCT huwezi kuomba hizi ajira mpya sasa kwanini msitufungulie tuombe?

MCT acheni hujuma, hizo ajira kila MTU ana haki ya kuomba tufungulieni system tuimbe leseni
MCT = Media council of Tanzania?
 
Mnisikie wooote kwa makinii!! nyie ni watoto wa Baba mmoja nyerere tu baaasi sasa sitaki tena kusikia mtu ana nililia humu mkicheza nafuta zote .......mnaanza upya haya tooote Sultan sijui anawapa nini yule muarabu! nyie watoto!!

nikisema nafuta upya mnanifahamu si ndiyo??...yaani ni kata funua napitisha vifaru kutoka pwani ya kusini mpaka kaskazini tuone sasa nan atabaki!! baada ya hapo naanza kuzaa upya mbona kazi ndogo tuu hiyo
 
Siongei kwa kufurahisha jukwaa bali naongea yalionikuta mimi mwenyewe, ofisi yangu iliamia kwenye ofisi za serikali, kuanzia kwa shekha mpaka kwa Commissioner. Hivo wewe amini tu hivo, Mzanzibar anafungua bar na anauza pombe, wewe kutoka bara ukufungua bar au restaurant eneo lile lile unaambiwa hii ni nchi ya kiislam sasa unabaki unajiuliza hivi hawa watu wanajua huyu Mungu wanaye mtumikia au wanatumikia dini yenye lugha ya fulani. Zanzibar ukitaka uishi vizuri labda uwe kibarua na usiyeingilia masilahi yao wakuite mnyamwezi basi.
Nimewahi kushudia mtu amegongwa na gari na hajafa anaomba msaada lkn wanakuja wanachungulia tu nakusema huyu ni mnyamwezi, unabaki unajiuliza mnyamwezi siyo mtu? Siyo binadamu?
Kuna rafiki yangu ana kampuni ya Safety na Risk assesment aliwahi kupata tenda kukagua usalama wa minara ya simu ya kampuni fulani, kuanzia bara mpaka Unguja lakini kwa Unguja ilishindikana, ikabidi aingie tena ubia na kampuni iliyoko Unguja. Hawa watun wanafursa nyingi sana lakini haziwatumii wamekalia chuki, majungu na ubinafsi. Wapemba wanamaendeleo kulikuwa wazawa wa unguja.
Ukiwa bara unaweza kuamini kwamba kuna Muungano lakini ukija huku unagundua muungano upo kwenye makaratasi. Mimi nimewahi kukamatwa mara kibao nnikiendesha gari kwa kutumia leseni ya Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania, naambiwa natakiwa niwe na leseni ya Zanzibar. Mimi situmii leseni ya Tanganyika natumia leseni ya JMT nakamatwa na askari polisi ambaye ana nembo ya JMT, does it make sense?
Nakusoma mkuu.
 
Hivi vijamaa ni vipumbafu na vijinga..anzisheni medical council ya zanziber..msitusumbue kupe nyinyi mliojaa ubaguzi..m naomba tuchague moja either tuvunje muungano au kuwe na serikli moja tu.

#MaendeleoHayanaChama

Sent using Jamii Forums mobile app
Serikali moja itafaa, hakuna haja ya kuwa na rais zenj, wakati kuna rais wa JMT.. Rais awe mmoja tu, wa JMT, basi.
 
Back
Top Bottom