Medical examination form

Avatar

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2012
Posts
11,128
Reaction score
11,921
kuna haja gani ya kuwapo na huo utaratibu wa kupeleka form tajwa hapo mashuleni na vyuoni ukizingatia asilimia kubwa huwa zina fojiwa... naona haina haja yakua na huo utaratibu kwenye sehemu kama izo.... wadau mnalionaje hili swala
 
haja ipo coz ni vema wakawa na taarifa zako ili ukiumwa gafla wajue pa kuanzia ila wabongo washazoea vya kufoji hata afya unafoji kweli hii ni tanganyika
 
haja ipo coz ni vema wakawa na taarifa zako ili ukiumwa gafla wajue pa kuanzia ila wabongo washazoea vya kufoji hata afya unafoji kweli hii ni tanganyika

hahahaha basi haito saidia pia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…