Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Rafiki zangu wapenzi, leo
sitakuwa nanyi, napanda Mlimani kufanya Meditation ama kwa Kiswahili
huitwa TAHAJUDI au TAFAKURI KINA (deep thinking).
Kupitia meditation, nayarudia mapito yangu yote na kujikumbusha ni wapi
nimejikosea mwenyewe, nimewakosea niwapendao na nimewakosea hata wale
nisiowafahamu na kuwaona.
Meditation kimekuwa ni chombo cha kuunganisha utu wangu wangu wa ndani
na Mungu (super power) isiyoonekana. Kupitia meditation nimeweza
kujifunza mambo mbalimbali kama uvumilivu, upendo, kusamehe na kusahau.
Jamani nisiwapotezeeni muda wenu mwingi, mie ngoja nianze yangu
safari
nadhani Bujibuji ndio kashanyakuliwa kilichobaki ni kumwombea afike salama huko...
poa ila angalia usije nyakuliwa kama enoko...
Nimenyakuliwa na malaika DALADALAnadhani Bujibuji ndio kashanyakuliwa kilichobaki ni kumwombea afike salama huko...
Nimenyakuliwa na malaika DALADALA
NakuombeaRafiki zangu wapenzi, leo sitakuwa nanyi, napanda Mlimani kufanya Meditation ama kwa Kiswahili huitwa TAHAJUDI au TAFAKURI KINA (deep thinking).
Kupitia meditation, nayarudia mapito yangu yote na kujikumbusha ni wapi nimejikosea mwenyewe, nimewakosea niwapendao na nimewakosea hata wale nisiowafahamu na kuwaona.
Meditation kimekuwa ni chombo cha kuunganisha utu wangu wangu wa ndani na Mungu (super power) isiyoonekana. Kupitia meditation nimeweza kujifunza mambo mbalimbali kama uvumilivu, upendo, kusamehe na kusahau.
Jamani nisiwapotezeeni muda wenu mwingi, mie ngoja nianze yangu safari
Au kama Eliya Mtishbipoa ila angalia usije nyakuliwa kama enoko...
Mkuu ValasMoghulas, karibu mitaa hiI.Heshima yako kaka pasko,umenishawishi sana kujiunga jamii forum