MSAGA SUMU
JF-Expert Member
- May 25, 2015
- 6,661
- 21,656
Wakuu taarifa zinanifikia sasa hivi kwenye simu yangu ya mkononi kuwa tokea saa 5 asubuhi ya leo afya ya mshambuliaji Medy Kagere imezol(r)ota na ni wazi kabisa mechi ya leo hata hasitokee uwanjani. Salamba kuanza(adui muombee njaa).
wakati Yanga mpaka muda huu kila mtu ni mzima kabisa.Mungu ibariki Yanga
wakati Yanga mpaka muda huu kila mtu ni mzima kabisa.Mungu ibariki Yanga