Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
MEEK MILL HAJUI KAMA HARMONIZE NI MWANAMUZIKI
Baada Ya Harmonize Kumtumia Meseji Meek Mill Kuomba Ampe Kolabo, Meek Mill Alijibu Kwa Mshituko Akisema "Wewe Ni Msanii Kutoka Afrika? Sijawahi Kusikia". Baada Ya Meek Mill Kuonesha Hamfahamu Harmonize Imemlazimu Harmonize Aombe Msaada Kwa Mashabiki Wamsaidie Kumwambia Meek Mill Kwamba Harmonize Ni Msanii Mkubwa.
Kumbe harmonize bado sana ....anga za kimataifa [emoji23]
Baada Ya Harmonize Kumtumia Meseji Meek Mill Kuomba Ampe Kolabo, Meek Mill Alijibu Kwa Mshituko Akisema "Wewe Ni Msanii Kutoka Afrika? Sijawahi Kusikia". Baada Ya Meek Mill Kuonesha Hamfahamu Harmonize Imemlazimu Harmonize Aombe Msaada Kwa Mashabiki Wamsaidie Kumwambia Meek Mill Kwamba Harmonize Ni Msanii Mkubwa.
Kumbe harmonize bado sana ....anga za kimataifa [emoji23]