Konde anajua weweMtu anaimba I go dai fo yu anataka akaimbe nini na Meek Mill
Kaushamba hakatakaa kamuishe.Tukubali tukatae Konde ana ka ushamba flani hivi
Kwamba tuache brand ikutangazeDiamond ataendea kuwa msanii mwenye thamani kubwa by far, the rest wamekuwa cheap kiasi hichi Acha kazi yake ikutangaze kuliko kwenda dm ni kujidhalilisha huwezi ukawa ni msanii mkubwa ukawa unakesha kwenye dm za wasanii