Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Na mchele mcheleMi mwenyewe Nick40 simjui Nipo huku Katoroo,namjuaa Kiba,Daimond na Budagalaa.Mikmill aeleweke sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na mchele mcheleMi mwenyewe Nick40 simjui Nipo huku Katoroo,namjuaa Kiba,Daimond na Budagalaa.Mikmill aeleweke sawa.
My point ni kwamba hata yr harmonize kuna watu hawajui na wanafanya poa tuuUnatumia jina Gani???
Eeee bossKatoro ya geita mkuu
😂😂😂🤣🤣🤣🤣😂😂🤣🤣😂😂Umsiriba Kabisa Tobo LoteMtu anaimba I go dai fo yu anataka akaimbe nini na Meek Mill
Nadhani upo sahihi Harmonize kashuka kimuziki.Music kwa Harmonize sasa hivi hakuna kitu, yule mwanamke kampoteza kabisa, kazi kutembea na demu kila kona kwa show off za kishamba wakati muziki wake unadidimia, demu anampoteza sana, hakuna kazi inahitaji kujituma na kurudia rudia mistari ikaye sawa kama music, la sivyo utatoa music ya hovyo sana kama Harmonize
Nakujaga sana pande hizoEeee boss