Dahh kweli ana kasauti Kali sana hadi keroAnakelele sana tatizo
Weka tuione wacha manenoAna dental formula mbovu sijapata kuona,
Ana meno 34 Badala ya 32
Kwa Kweli mumewe kazi anayo
Daaah, huyu dada mpemba ananikosha sana especially sauti yake. Anaitwa Meena Ally ni mtangazaji wa Clouds kipindi cha Amplifaya na kipindi cha Niambie.
Mwenye kujua information zaidi za huyu dada atiririke tafadhali...
Unajipigia promo. Si ndo wewe mwenyewe ustadhatiDaaah, huyu dada mpemba ananikosha sana especially sauti yake. Anaitwa Meena Ally ni mtangazaji wa Clouds kipindi cha Amplifaya na kipindi cha Niambie.
Mwenye kujua information zaidi za huyu dada atiririke tafadhali...
Ana dental formula mbovu sijapata kuona,
Ana meno 34 Badala ya 32
Kwa Kweli mumewe kazi anayo
Hehehe.. nasubiri nione kama ataleta ako kapichalla wenye dental formula za ' Zigzag ' huwa na ' Mbunye ' tamu sana Mkuu. Hata hivyo Mkuu nadhani na Wewe ungetusaidia sana kama ungetuwekea hapa Nyago / Picha za Shemela wetu ( Mkeo au Demu ) wako ili nasi tumtathmini kisha tuje na majibu yetu ' mujarab ' kabisa dhidi yake.
Mmmhh mkuu hiyo iko personal Sana siyo nzuri kuizungumzia...
Ana dental formula mbovu sijapata kuona,
Ana meno 34 Badala ya 32
Kwa Kweli mumewe kazi anayo
Kumbe ndio huyu!
We ndo Meena?Hehehehe hiyo ni mirror reflection
Hivi mambo ya maumbile ni optional kwamba unamuua uweje wakati unapozaliwa?Ana dental formula mbovu sijapata kuona,
Ana meno 34 Badala ya 32
Kwa Kweli mumewe kazi anayo
Duh!!!Ana dental formula mbovu sijapata kuona,
Ana meno 34 Badala ya 32
Kwa Kweli mumewe kazi anayo
Ohooooo!!!!Ninachojua tu ni kwamba Watu wenye muonekano kama wake hapo Pichani ( Wembamba ) wana Kina kirefu sana cha mlango bahari wa eneo tukuka la Nungwi.
Kwa nini mkuu?au unamaana hicho alichojisiriba usoni kitatoka.Nafikiri hawezi tembea kwenye manyunyu ya mvua.
Kiukweli mimi nilikuwa namkubali sana kipindi chake cha NIAMBIE.
Alipokuja tu AMPLIFIER, aaaagh!. Kaharibu kipindi kabisa. Na vyeo vyote nilivyomtundika nimemvua vyote.
ana pigaga kelele tu na kuumiza masikio ya watu kitu kingine anatakaga kuongea yeye tu akiwa na Millard amplifire ina boa kwasababu yke