Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 52,812
- 71,392
Mara ya kwanza kusikia sauti yake nilidhani ni Salama J
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You're 101% Right!! Tatizo la Meena anaongea sana, tena sana... ndivyo alivyo!!!Kuna uzi uliletwa humu juu ya anavyokiharibu kipindi cha Amplifier, nadhani aliupitia ule uzi na kuuelewa, maana latest amebadilika sana, tena sana.
You're 101% Right!! Tatizo la Meena anaongea sana, tena sana... ndivyo alivyo!!!
Kwa bahati mbaya, Millard Ayo sio muongeaji na matokeo yake akawa anasikika yeye tu!!!
Hivi sasa amebadilika kwa kiasi kikubwa sana kulinganisha na wakati anaanza Amplifier!
Hahahhaa weweUkimuonja huto msifia...anamaji mengi sana...
BhuahahahaUkimuonja huto msifia...anamaji mengi sana...
Ipo play store??Hehehehe hiyo ni mirror reflection
Mwambie acheke tuone dental fomula,oooh nilitaka kusahau je Chura ipo?Daaah, huyu dada mpemba ananikosha sana especially sauti yake. Anaitwa Meena Ally ni mtangazaji wa Clouds kipindi cha Amplifaya na kipindi cha Niambie.
Mwenye kujua information zaidi za huyu dada atiririke tafadhali...
![]()
![]()
![]()
![]()