Meena Ally wa Clouds FM ananikosha sana

Meena Ally wa Clouds FM ananikosha sana

Mara ya kwanza kusikia sauti yake nilidhani ni Salama J
 
Ukimuonja huto msifia...anamaji mengi sana...
 
Kuna uzi uliletwa humu juu ya anavyokiharibu kipindi cha Amplifier, nadhani aliupitia ule uzi na kuuelewa, maana latest amebadilika sana, tena sana.
You're 101% Right!! Tatizo la Meena anaongea sana, tena sana... ndivyo alivyo!!!

Kwa bahati mbaya, Millard Ayo sio muongeaji na matokeo yake akawa anasikika yeye tu!!!

Hivi sasa amebadilika kwa kiasi kikubwa sana kulinganisha na wakati anaanza Amplifier!
 
Haka kademu nikiwa nakasikia naona kama "kataahira" flan hiv na yale makelele daaah amefanya Amplifaya isiwe na mvuto tena.
 
You're 101% Right!! Tatizo la Meena anaongea sana, tena sana... ndivyo alivyo!!!

Kwa bahati mbaya, Millard Ayo sio muongeaji na matokeo yake akawa anasikika yeye tu!!!

Hivi sasa amebadilika kwa kiasi kikubwa sana kulinganisha na wakati anaanza Amplifier!

Nimemsikia latest, she is so cool ukilinganisha na siku zile kabla hajasemwa humu.
 
Nilifikiri anaitwa Mina Ally, kumbe ni Meena Ally, [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Daaah, huyu dada mpemba ananikosha sana especially sauti yake. Anaitwa Meena Ally ni mtangazaji wa Clouds kipindi cha Amplifaya na kipindi cha Niambie.

Mwenye kujua information zaidi za huyu dada atiririke tafadhali...

5dbf2feb346d53eab2901558dfe728f9.jpg
b8a44e7e907ec0468aff2da43d54896d.jpg

ed8988dc13a114a5aa2dfc9e154a1134.jpg
ef8b9c452f269ab5795c680cc70bb6fa.jpg
Mwambie acheke tuone dental fomula,oooh nilitaka kusahau je Chura ipo?
 
Kwenye amplifier uwa anajaribu kuchekesha uwa naona kama anaharibu.
Halafu design uwa naona millard kama anamchukulia kama mtoto kutokana na mizaha yake.
 
Mwanzoni msumbufu sana kutoa papuchi/mbunye (maneno mengi) ila anaachia tu kisela
 
Back
Top Bottom