Meena Ally

Meena Ally

Katika watu walionifanya nisisikilize amplifaya ni huyu meena ally simuelewagi kipindi cha ampilifaya kimekaa kipuuzi
 
Aslaam Aleikyum wadau wa jukwaa hili..I hope mko poa, Leo nataka nimzungumzie Toto tundu Mpemba mmoja hivi toka Zanzibar ambae ni Mtangazaji wa kipindi cha Amprifaya Clouds FM kila siku Jumatatu hadi Ijumaa saa1 usiku hadi saa3 akiwa na Mtu wako wa nguvu Damu damu milele,Mr.Countdown mzee wa City to City Nation to Nation Millard Ayo.
View attachment 1230458
Lakini pia unamskia Kila jumamosi saa5 hadi 6 mchana katika kipindi cha Niambie akiwa na Noel aka Akili ndefu.Najua unamjua na nnajua kwamba unamjua lakini jee.unamjua zaidi?
Hapa namzungumzia Meena Ally aka Shobo ambae kwasasa ni Afisa mhamasishaji wa Tigo Figidi Fiestra 2019 Saizi yako 'Levels Baby' akiwa na Kicheko mtata na Babuu wa Kitaa. Point ya msingi hapa nimeona vitu vingi kwake,kama unamfuatilia utaungana namimi
1:Ni mcheshi,mchangamfu yaani akiwa On air kama hayuko serious ivi alafu sometimes anawazingua wasikilizaji yaani utani fulani ivi unaoleta ladha kwenye kipindi,
2:Ngoja tukumbushane kidogo,Unazikumbuka zile promos zilizokua zinasikika kutambulisha kipindi kijacho kwenye Niambie mada itahusu nini?yaani ni promos zilizojaa ubunifu wa ela yote Bablai!Yanafurahisha,though kama ya kitoto ivi utani utani but its a gud stuff coz kuna Lugha ya kifasihi imetumika ndani mwake,hatakama script alikua haandiki yeye but anavyoingiza sauti anavyo'act ni real talanta sio kitu rahisi kwamba raia oote anaeza fanya izo mafekechenizm!
3:Even now kama umefuatilia msimu wa Fiesta yeye kama Afisa mhamasishaji akiwa na kina Kicheko na Babuu wamekua wakitengeneza zile clips za Tigo Fiesta2019 ambazo zinafurahisha kinyama,Cheki ile ya Kihindi ya Mwanza pia cheki na za Muleba na Sumbawanga,au ile ya Chuga ya mwaka jana akiwa na Machalii wa Machapalala shazi'Chuga Dance/Dalala'.Huyu mpemba ni Nuksi... @NgarenaroBoy.
View attachment 1230459
we jamaaa ushawahi msifia hivi mkeo?
 
Kaharibu kipindi cha Ampifaya
No chemistry..
Hana kipaji pia cha uchekeshaji..ile ni kujichetua tu
Duuh izi Comments akiziona ataondoka mwenyewe kimya kimya Amprifayani na ku'join Sundowner ya kina Emanuel Likuda na Mwaulanga pale Magic FM.
 
Binafsi simkubali, niliacha kufatilia kipindi cha Amplifaya baada ya kukerwa na uwepo wake kwa sababu zifuatazo;
1. Ana makelele sana(mpayukaji)
2. Anapenda utani hata sehemu isiyohitaji utani
3. Analazimisha kuchekesha wakati hana hicho kipaji
4. Ana kihelehele (much know), Millard wakati mwingine inalazimika awe mpole maana wakati mwingine humuingilia pindi anapoanza kuzungumza, bahati nzuri Millard ni mpole, ingekuwa mimi angekuwa anachezea vibao vya rejareja[emoji19]
 
Aslaam Aleikyum wadau wa jukwaa hili..I hope mko poa, Leo nataka nimzungumzie Toto tundu Mpemba mmoja hivi toka Zanzibar ambae ni Mtangazaji wa kipindi cha Amprifaya Clouds FM kila siku Jumatatu hadi Ijumaa saa1 usiku hadi saa3 akiwa na Mtu wako wa nguvu Damu damu milele,Mr.Countdown mzee wa City to City Nation to Nation Millard Ayo.

View attachment 1230458

Lakini pia unamskia Kila jumamosi saa5 hadi 6 mchana katika kipindi cha Niambie akiwa na Noel aka Akili ndefu.Najua unamjua na nnajua kwamba unamjua lakini jee.unamjua zaidi?

Hapa namzungumzia Meena Ally aka Shobo ambae kwasasa ni Afisa mhamasishaji wa Tigo Figidi Fiestra 2019 Saizi yako 'Levels Baby' akiwa na Kicheko mtata na Babuu wa Kitaa. Point ya msingi hapa nimeona vitu vingi kwake,kama unamfuatilia utaungana namimi

1:Ni mcheshi,mchangamfu yaani akiwa On air kama hayuko serious ivi alafu sometimes anawazingua wasikilizaji yaani utani fulani ivi unaoleta ladha kwenye kipindi,

2:Ngoja tukumbushane kidogo,Unazikumbuka zile promos zilizokua zinasikika kutambulisha kipindi kijacho kwenye Niambie mada itahusu nini?yaani ni promos zilizojaa ubunifu wa ela yote Bablai!Yanafurahisha,though kama ya kitoto ivi utani utani but its a gud stuff coz kuna Lugha ya kifasihi imetumika ndani mwake,hatakama script alikua haandiki yeye but anavyoingiza sauti anavyo'act ni real talanta sio kitu rahisi kwamba raia oote anaeza fanya izo mafekechenizm!

3:Even now kama umefuatilia msimu wa Fiesta yeye kama Afisa mhamasishaji akiwa na kina Kicheko na Babuu wamekua wakitengeneza zile clips za Tigo Fiesta2019 ambazo zinafurahisha kinyama,Cheki ile ya Kihindi ya Mwanza pia cheki na za Muleba na Sumbawanga,au ile ya Chuga ya mwaka jana akiwa na Machalii wa Machapalala shazi'Chuga Dance/Dalala'.Huyu mpemba ni Nuksi... @NgarenaroBoy.

View attachment 1230459

ukishaweka mrembo, mabaharia tunapenda kusikia mambo mazuri tu kama anajua kukata mauno kitandani, anaitikia mgegedo vizuri, anatumia line zote, kaolewa au la na mambo yanayoendana na hayo....
 
Napenda Sana sauti yake huyo mwanamke, angekuwa na chura ya kutosha ningemtengea bajeti nikajibambe mithili ya Mwijaku kwa meninna. [emoji3][emoji3][emoji3] Meena baby natania ati
 
Hvi pale mawinguni nani anakula mzigo hyu manzi?
 
bila kupepesa macho mi nampenda sana meena ally awe mke wangu
 
Kaharibu kabisaa flow ya kipindi cha amplifier cha Ayo
Utani wa kitoto mwingii
 
Aslaam Aleikyum wadau wa jukwaa hili..I hope mko poa, Leo nataka nimzungumzie Toto tundu Mpemba mmoja hivi toka Zanzibar ambae ni Mtangazaji wa kipindi cha Amprifaya Clouds FM kila siku Jumatatu hadi Ijumaa saa1 usiku hadi saa3 akiwa na Mtu wako wa nguvu Damu damu milele,Mr.Countdown mzee wa City to City Nation to Nation Millard Ayo.

View attachment 1230458

Lakini pia unamskia Kila jumamosi saa5 hadi 6 mchana katika kipindi cha Niambie akiwa na Noel aka Akili ndefu.Najua unamjua na nnajua kwamba unamjua lakini jee.unamjua zaidi?

Hapa namzungumzia Meena Ally aka Shobo ambae kwasasa ni Afisa mhamasishaji wa Tigo Figidi Fiestra 2019 Saizi yako 'Levels Baby' akiwa na Kicheko mtata na Babuu wa Kitaa. Point ya msingi hapa nimeona vitu vingi kwake,kama unamfuatilia utaungana namimi

1:Ni mcheshi,mchangamfu yaani akiwa On air kama hayuko serious ivi alafu sometimes anawazingua wasikilizaji yaani utani fulani ivi unaoleta ladha kwenye kipindi,

2:Ngoja tukumbushane kidogo,Unazikumbuka zile promos zilizokua zinasikika kutambulisha kipindi kijacho kwenye Niambie mada itahusu nini?yaani ni promos zilizojaa ubunifu wa ela yote Bablai!Yanafurahisha,though kama ya kitoto ivi utani utani but its a gud stuff coz kuna Lugha ya kifasihi imetumika ndani mwake,hatakama script alikua haandiki yeye but anavyoingiza sauti anavyo'act ni real talanta sio kitu rahisi kwamba raia oote anaeza fanya izo mafekechenizm!

3:Even now kama umefuatilia msimu wa Fiesta yeye kama Afisa mhamasishaji akiwa na kina Kicheko na Babuu wamekua wakitengeneza zile clips za Tigo Fiesta2019 ambazo zinafurahisha kinyama,Cheki ile ya Kihindi ya Mwanza pia cheki na za Muleba na Sumbawanga,au ile ya Chuga ya mwaka jana akiwa na Machalii wa Machapalala shazi'Chuga Dance/Dalala'.Huyu mpemba ni Nuksi... @NgarenaroBoy.

View attachment 1230459
kakutuma uje umtangaze sio?mwambie kwanza atengeneze dental formula ake kwanza afu mwambhie hachekesh sema watu tunamuona KATUNI TU
 
Halafu huyu manzi ana chembechembe za ubaguzi haipiti siku kwenye kipindi hajasema kwetu pemba hiv na hiv ,sijui wapemba hiv na hiv,.....
 
Back
Top Bottom