Meet the person who executes the death penalty in Uganda - Luzira Prison

Meet the person who executes the death penalty in Uganda - Luzira Prison

Kuna mmoja aliwahi toa testmony yake channel ten miaka ya 2006/2007 hivi kama sikosei, inatisha sana. Yeye ilikuwa ni katika magereza ya hapahapa Tz, akasimulia the way alikuwa anacheza draft na inmate mwenzie mara kaja kuitwa, after sometime kasikia mwenzie anamuita kwa sauti kuwa 'kwa heri, mwenzio siku yangu imefika, utanikutaa'. Niliwaza sana, na draft hakulimaliza.

Kwa nini vyumba vya kunyongea visingekuwa mbali na vizimba? Hata hivyo, wengine wanastahili, kama mtu anambaka mtoto mdogo, anamchinja, aagh!!!!
 
worsest story everheard/ he trained in china/thats mean hammering is the method used/niaje ndg zetu "china"

Kuna sehemu kasema ananyonga bila kumsababishia maumivu, ina maana hiyo nyundo haileti maumivu?
 
hatare....... hivi ni kazi za waarabu na wamerekani
 
Kitendo cha kunyonga kama kinavyosimliwa katika artical hii kinaleta mtafaruku katika hali ya ubinadam lakin ukifikria kwa undan watu waliombaka mtoto mdogo wa darasa la awali anamiaka 4 then wakamnyonga, au wale waliowauwa albino ili wawe matajiri eti hawa nao wasinyongwe hata kama imedhibitishwa na mahakama bila kuacha shaka kuwa walihusika na mauaji hayo. Aaa! Jaman hawa hapana let them die tena kwa maumivu makali
 
hizi kazi nyingine bana........nahisi huyo jamaa atakuwa anatisha kiaina,,,,, ukiua na wewe unauawa....jino kwa jino....
 
mmmmmh kama hajafa wanamalizia na nyundo???? i doubt! hii article ni imetengenezwa na wanaharakati wanaopinga death sentence ndo mana wanajitaidi kuonyesha how cruel it is, labda kilichonogus ni kimoja tu kwamba kila mtu atakufa anyway so kwa kumuua mtu actually hujampunish maana atakuja kufa tu anyway!!!! nice try!
 
Hii nayo kali. Kuwa cooperative tena...
In the death chamber, the prisoner may stand or be seated on a death chair depending on whether he is cooperative or aggressive.
 
Sijui hii nayo tuiite prooffesion au? Ila muandishi kaandika hii article vizuri sana. Yaani kama unaona process inavyofanyika
 
Duh!...hii sasa nd'o ukatili aisee. Mtu kama hajafa inabidi mna-mpa 'holiday' ya kama siku mbili afu mnarudia
kunyonga (mwenyewe nasita kusema haya maneno...hehehehe!).

mmmh! si anawezajifia mwenyewe kwa kuwaza kesho watarudi tena
 
Aisee!Kwa hiyo akitoka kunyonga anarudi nyumbani anasema na yeye ametoka kazini
 
Chumba cha kunyongea kiwekwe mbali na rooms za hao wafungwa wanaosubiri zamu zao.
Kosa likifanyika katika kunyonga hapo inabidi sheria ipitiwe upya, habari za kuponda mtu nyundo hiyo si sawa.
Kabla ya kunyongwa inabidi wanyongwaji wawe wanaonyeshwe video za zombies, terminator, van damme, Rambo, na wengineo ili kuwaandaa kiakili kukabiliana na kifo, kuliko fake 'sympathy' wanayowapa.
 
How you can hang somebody with no pain? means soft killing ridiculous, me self no supporting hanging punishment, every human being has a right to live no one has permission to shorten life of other People.
 
Back
Top Bottom