meet the real beauty!

meet the real beauty!

...Lazima radha zitatofautiana jamani.....Humu nako kuna raha zake ati. Hayo ma-style yule mmasai anaweza kukimbia kiwanja akavuruga mechi......Kila shetani na mbuyu wake!!

Sajenti, wewe msukuma?
 
wow but I feel like she is somehow unhappy ???

and those are strong hands..
 
Asili ina raha jamani achei sie tulituliza akili zetu kwenye uasili wa viumbe tupate raha za dunia.!
yyani natamani hivi vigoli niwe naviona kila dakika ili mtima wangu uwe na raha ya ajabu, ninaipenda sana hii kitu jamani.
 
Huyu unamuosha vizuuuuuuuri unamtia manukato bariidi na kumuweka sehemu nzuri, nakuhakikishia hutajutia uamuzi wako manake utakachokipa toka kwake ni asili asili mwanzo mwisho, muhimu tu uwe muungwana katika kumuelimisha.
kama huamini bwana kaka jaribu utanipa jibu lake, mwenzio naelewa..!!
 
Huyu unamuosha vizuuuuuuuri unamtia manukato bariidi na kumuweka sehemu nzuri, nakuhakikishia hutajutia uamuzi wako manake utakachokipa toka kwake ni asili asili mwanzo mwisho, muhimu tu uwe muungwana katika kumuelimisha.
kama huamini bwana kaka jaribu utanipa jibu lake, mwenzio naelewa..!!

mi nakuelewa kabisa unachoongea,nisiowaelewa ni wale wanaovutiwa na uzuri wa kubandika na kubandua,maana unataka dada kuanzia kucha,nywele,rangi ya ngozi,kope vyote vya bandia!
na uzuri wa bandia una gharama na hatari kubwa!
 
hawa mazee ukimchukua mara ya kwanza inabidi kumlia timing kwanza taratibu.......maana usishange unazáma chumvini akakukaba kumbe hajui kuendewa chumvini......!

Pathetic and lame comment.

Urembo na ngono wapi na wapi? Kuna jukwaa la hasharati jiandikishe kule mazee..unaeza hata ukaomba u-MOD kule.
 
Lisije likawa shume hilo mnalifurahia kwa kudhani ni jike
 
MmmH! Mbona mwatusingizia ati! ukweli she is cute and pretty. lakini picha ingemtoa mpaka chini nadhani ingekuwa bomba zaidi. Thanks Cheusi for this African Beauty. but even ur avatar is african magic. Wow!
 
Back
Top Bottom