we nenda kanywe chai tu huko na kumpigia makofi jk. Halafu tuletee umbea wa kawaida wa hapa kuhusu fanicha za Ikulu, unene wa JK, vikombe vya Ikulu nk.
we nenda kanywe chai tu huko na kumpigia makofi jk. Halafu tuletee umbea wa kawaida wa hapa kuhusu fanicha za Ikulu, unene wa JK, vikombe vya Ikulu nk.
we nenda kanywe chai tu huko na kumpigia makofi jk. Halafu tuletee umbea wa kawaida wa hapa kuhusu fanicha za Ikulu, unene wa JK, vikombe vya Ikulu nk.
we nenda kanywe chai tu huko na kumpigia makofi jk. Halafu tuletee umbea wa kawaida wa hapa kuhusu fanicha za Ikulu, unene wa JK, vikombe vya Ikulu nk.
Leo mida ya saa nane kamili (14:00 EAT) Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete atakuwa na mkutano na waandishi (wachache) wa habari Ikulu. Ajenda kuu ikiwa ni kuongelea uongozi wa nchi chini yake ndani ya miaka miwili.
Nitakuwepo? Sijui, ndo naelekea huko. More info to follow...
nadhani mambo yote kuhusu kubadili baraza la mawaziri inaweza kuwa Leo,Navyomfahamu DR. Kikwete,atazungumzia hoja dhaifu na mafanikio......
Jamani, nilikua huko, kimefanyika kituko, Ikulu wamegawa makundi mya watu wanne wanne, sisi tumerudishiwa getini tumepangiwa muda mwingine (sitaji muda watanijua)... kwa hiyo hiyo ndio hali halisi, kwamba leo kutwa nzima Rais atakua na kazi ya kuzungumza na waandishi wa habari
we nenda kanywe chai tu huko na kumpigia makofi jk. Halafu tuletee umbea wa kawaida wa hapa kuhusu fanicha za Ikulu, unene wa JK, vikombe vya Ikulu nk.
Jamani, nilikua huko, kimefanyika kituko, Ikulu wamegawa makundi mya watu wanne wanne, sisi tumerudishiwa getini tumepangiwa muda mwingine (sitaji muda watanijua)... kwa hiyo hiyo ndio hali halisi, kwamba leo kutwa nzima Rais atakua na kazi ya kuzungumza na waandishi wa habari.
...acheni hizo nyie mbona inaonekana kama joke tuu au ni zile tabia za kiswahili za kujipendekeza tuu maana mnachomshambulia huyo jamaa wala sikioni,jokes ni muhimu hata kama zinaudhi
SIpendi na nachukia tabia ya kupeana udaktari wa kwenye bahasha!!
Wengine ulitusotesha na bado wengi wapo wana usotea hadi vipala, wengine wanagawiwa tu kama peremende!! huku ni kuushushia hadhi udaktari!