The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Sasa kama waandish wa habari wanapangwa kwenye groups za wanne wanne je hiyo ni press conference au kitu gani? Je waandishi wa habari wenyewe ni wangapi? Maana wakiwa let say 32 na kila group likachukuwa 1/2 hour then rais itabidi atumie masaa 4 kuwaeleza wandishi alichowaitia na itabidi arudie hiyo taarifa yake mara 8. What a waste of time!!! Kweli USANII sasa umefikia mahali pake!!!!