AnayeEndelea kumuomba Mungu huenda ukapata amini tu, hivi manji ana mke?
Ohoo kwahiyo bidada ndiyo kakosa aendelea kusubili zamu yake[emoji23]Anaye
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] ,nimeipenda hiiOlewa na huyo huyo ulienae, hata yeye anatoka kwenye familia ya kifalme, kwa maana mama mkwe wako anamuita baba mkwe wako mfalme wake..
Hahaa!! Siko serious saana.
sio habariHabari ni alie Zaliwa, hata uzaliwa wa Yesu ulikuwa habari.
πππNjoo nikuoe mama
Bora hauko serious maana ungetaja nilienae!πOlewa na huyo huyo ulienae, hata yeye anatoka kwenye familia ya kifalme, kwa maana mama mkwe wako anamuita baba mkwe wako mfalme wake..
Hahaa!! Siko serious saana.
Damu ya babu na bibi zako uliyoibeba ni safi sana mkuu.Hivi kwa nini sio Mimi?? niolewe familiya ya kifalme nifyatue twins damu safiii?
πππNjoo nikuoe familia yetu ni yakifalme urithi kutoka kwa mangi Kokan.
Sana na vile ni mchanganyiko Sina wasiwasiDamu ya babu na bibi zako uliyoibeba ni safi sana mkuu.
Hahaa!! Wacha mikwara we binti weye!!Bora hauko serious maana ungetaja nilienae![emoji23]
Hahaa!! Maisha haya kila mmoja mfalme na malkia, sema tunatofautiana eneo la utawala tu, wengine wafalme wa maeneo makubwa, wakina sie pangu pakavu tia mchuzi wafalme mpaka tukiwa kwenye vyumba vyetu vya kupanga tukiwa na kina mama chanja wetu![emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] ,nimeipenda hii