Meghan Markle alivutia macho ya wengi Leo kwenye Commonwealth Day iliyofanyika Westiminister

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011






Malkia aliwategemea Harry na Meghan kuwa mabalozi wake katika nchi za Commonwealth ambazo siku hizi anashindwa kuzitembelea kutokana na umri kusonga mbele.

Harry na Meghan wako kwenye ziara yao ya mwisho kama Waandamizi wa wafamilia ya Kifalme.
 
Na yeye ni mwanachama wa chama dola?
 
Meaghan anataman cheo kibaki ila akiwa huru zaidi kuliko kubanwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…