Mei 31: Siku ya Kimataifa ya kuzuia Matumizi ya Tumbaku

Mei 31: Siku ya Kimataifa ya kuzuia Matumizi ya Tumbaku

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Siku ya Kimataifa ya Kuzuia Matumizi ya Tumbaku huadhimishwa kila mwaka tarehe 31 Mei. Siku hii ina lengo la kuongeza uelewa kuhusu madhara ya kiafya, kijamii, na kiuchumi yanayosababishwa na matumizi ya tumbaku.

20240531_111016.jpg
20240531_110956.jpg
 
Hii ni biashara kubwa sana, hata katika mazao yanayoingiza pesa ndefu za kigeni tumbaku ipo.

Suala ni kuongeza utafiti wa kuondoa vitu hatarishi ama kupata namna mpya ya matumizi.
 
Back
Top Bottom