Mei 31: Siku ya Kimataifa ya kuzuia Matumizi ya Tumbaku

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Siku ya Kimataifa ya Kuzuia Matumizi ya Tumbaku huadhimishwa kila mwaka tarehe 31 Mei. Siku hii ina lengo la kuongeza uelewa kuhusu madhara ya kiafya, kijamii, na kiuchumi yanayosababishwa na matumizi ya tumbaku.

 
So viwanda vinafunga uzalishaji fegi leo?
 
Hii ni biashara kubwa sana, hata katika mazao yanayoingiza pesa ndefu za kigeni tumbaku ipo.

Suala ni kuongeza utafiti wa kuondoa vitu hatarishi ama kupata namna mpya ya matumizi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…