MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
Kila mwaka, Mei 9 Warusi husheherekea ushindi wao kwenye vita vikuu vya pili vya dunia, huwa na mbwembwe kama zote za kutunisha misuli, mwaka jana kwenye hotuba ya sikukuu, Putin alibwatuka mikwara kama yote na kuahidi ushindi.
Lakini hali imekua ngumu, ameshindwa hata kuteka kamji ka hovyo tu, amepoteza wanajeshi wanaokadiriwa 200,000 hiyo ni kama ujumlishe idadi ya wanajeshi wa mataifa yote ya EAC na kati na bado ubaki na salio.
===============================
After eight months of intense and brutal fighting between Russian and Ukrainian forces in and around Bakhmut in eastern Ukraine, both sides are fatigued as they continue to fight over a town that is now little more than ruins, according to Western officials.
Speaking at a defense intelligence briefing Wednesday, Western officials — who asked to remain anonymous due to the sensitive nature of the situation on the ground in Ukraine — said Russian forces had made extremely slow progress in their efforts to capture Bakhmut in the Donetsk region, saying any advances over the last couple of weeks could be measured in meters.
www.cnbc.com
Lakini hali imekua ngumu, ameshindwa hata kuteka kamji ka hovyo tu, amepoteza wanajeshi wanaokadiriwa 200,000 hiyo ni kama ujumlishe idadi ya wanajeshi wa mataifa yote ya EAC na kati na bado ubaki na salio.
===============================
After eight months of intense and brutal fighting between Russian and Ukrainian forces in and around Bakhmut in eastern Ukraine, both sides are fatigued as they continue to fight over a town that is now little more than ruins, according to Western officials.
Speaking at a defense intelligence briefing Wednesday, Western officials — who asked to remain anonymous due to the sensitive nature of the situation on the ground in Ukraine — said Russian forces had made extremely slow progress in their efforts to capture Bakhmut in the Donetsk region, saying any advances over the last couple of weeks could be measured in meters.
Exhaustion pervades Russia and Ukraine's forces fighting for Bakhmut's ruins
A recent lull in fighting in Bakhmut has been down to poor weather and exhaustion, Western officials said.