Mei Mosi 2020: Rais Magufuli atuma salamu za siku ya wafanyakazi, asisitiza waendelee kufanya kazi na kujiepusha na Corona

Kwenye hizo salamu sijaona sehemu yoyote aliyozungumzia masrahi ya wafanyakazi yaan najaribu kuvuta picha ya mabango ambayo angebebewa Leo daaaah!!!

Alipo anamshukuru saana Mungu maana sijui angesema nini Leo nadhani angepata wakati mgumu kuandaa speech ya Leo maana alikuwa hana akiba ya neno hata moja yooooote alikuwa ameshayatumia/kuyaongea eg: "kabla sijatoka madarakani nitakuwa nimeshaongeza mshahara" alisikika abiria mmoja akisema

#tumechoka kudanganywa
#tunataka haki zetu

*Pamoja na kuwepo Corona lakini tukumbuke maisha yanaendelea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…