Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,256
- 16,317
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]All the way from Chato state house.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]All the way from Chato state house.
Chato
Mafichoni
Madaktari na manesi lazima wachape kazi si ni watumishi wa umaAcha tuendelee kuchapa kazi
😂😂😂😂😂
Hata corona isingekuwapo asingeongeza, muhimu vitu kwanza ndio vyenye kikiUongezewe maslahi wakati katika hali ya namna hii kuna kupunguzwa kazi, kukatwa mishahara maeneo mbalimbali duniani?
Kama miaka minne iliyopita alishindwa kuwaongezea maslahi yenu, sahau hilo kwa sasa. Dunia inapigana vita ya kiuchumi, hakuna nchi itaongeza maslahi ya watu wake, sana sana muombe mifuko ya jamii iweke recovery package kwa ajili ya wafanyakazi kipindi hiki kigumu, walau 20% ya savings zenu.
Jiwe kwenye shida ni kokoto tu,ujiwe upo kwenye kumshughulikia mboweNahodha bora hawezi kukizamisha chombo chake majini! Ajitokeze hadharani aje aongoze mapambano badala ya kujificha kijijini na kukiacha chombo kijiendee chenyewe. Hii Corona inasafiri kama umeme! Itamtafuta tu kokote kule alikokimbilia.
Labda atubu hadharani dhambi zake zote alizotutendea kwa miaka yote hii 5! Huenda atasamehewa.
Au Unyungu dayMafusho Day
Huyo Ndio Rais tumpendaye ni nahodha bora
Kwenye hizo salamu sijaona sehemu yoyote aliyozungumzia masrahi ya wafanyakazi yaan najaribu kuvuta picha ya mabango ambayo angebebewa Leo daaaah!!! Alipo anamshukuru saana Mungu maana sijui angesema nini Leo nadhani angepata wakati mgumu kuandaa speech ya Leo maana alikuwa hana akiba ya neno hata moja yooooote alikuwa ameshayatumia/kuyaongea eg: "kabla sijatoka madarakani nitakuwa nimeshaongeza mshahara" alisikika abiria mmoja akisema
#tumechoka kudanganywa
#tunataka haki zetu
*Pamoja na kuwepo Corona lakini tukumbuke maisha yanaendelea
Sent using Jamii Forums mobile app
Anatekeleza agizo la waziri wa afya.. Stay at home and work from homeHuko kijijini kwake chato anafanya nini hataki kurudi ofisini?
Wewe ni mpuuzi.Wewe kama ni jobless shauri yako,wafanyakazi Wa sekta zote za umma wameongezwa mishahara kimya kimya ,ndio maana huwezi sikia migomo wa kelele zozote ,na wanapokea kwa wakati ,tofauti na enzi za Jakaya Kikwete
Wanaolalamikaga mitandaoni ni masela tu kama wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameshawambia waajiri wasiwanyanyase wafanyakazi kwa kisingizio cha korona..Nilifikiri atakuja na kauli juu ya wafanyakazi wa sekta binafsi wanaochishwa kazi kiholela na kuzuiwa malipo yao kipindi hiki,pia mpango madhubuti wa kumpa relief mfanyakazi katika kipindi hiki.
Sent using Jamii Forums mobile app
mpaka meno yametoka tunapiga uji tu kwa sasa hata nyama ni anasaHaya wapambaji tokeni na mapambio yenu tushehekee Mei Mosi sikukuu ya Wafanyakazi. Miaka 5 kamili ya kulimia meno.
Sent using Jamii Forums mobile app
mawaziri wanadondoka kama utani huko mjini dodoma na kujifukiza wanajifukizaChapa kazi chapeni kazi msisahau kujivukiza
Useless, no vision, no plan no hope .Mh. Rais awasihi wafanyakaz wazidi kuchapa kazi katika kipindi ambacho dunia inapitia kipindi kigumu Cha kupambana na Covid19
........View attachment 1436085
Sent using Jamii Forums mobile app