Mei Mosi 2020: Rais Magufuli atuma salamu za siku ya wafanyakazi, asisitiza waendelee kufanya kazi na kujiepusha na Corona

Hata corona isingekuwapo asingeongeza, muhimu vitu kwanza ndio vyenye kiki
 
Jiwe kwenye shida ni kokoto tu,ujiwe upo kwenye kumshughulikia mbowe
 
Yaani wakati wafanyakazi sekta binafsi wananyimwa mishahara Na kupewa likizo zisizo Na malipo serikali IPO tu....
 
Wewe kama ni jobless shauri yako,wafanyakazi Wa sekta zote za umma wameongezwa mishahara kimya kimya ,ndio maana huwezi sikia migomo wa kelele zozote ,na wanapokea kwa wakati ,tofauti na enzi za Jakaya Kikwete

Wanaolalamikaga mitandaoni ni masela tu kama wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilifikiri atakuja na kauli juu ya wafanyakazi wa sekta binafsi wanaochishwa kazi kiholela na kuzuiwa malipo yao kipindi hiki,pia mpango madhubuti wa kumpa relief mfanyakazi katika kipindi hiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ameshawambia waajiri wasiwanyanyase wafanyakazi kwa kisingizio cha korona..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…