Fukua
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 546
- 479
Watumishi ambao ni daraja kati ya serikali na wananchi wanaisubiri hii siku kwa matumaini makubwa sana.
Kundi hili lilibanwa mbavu na raisi aliyekutangulia ingawa haikuwa kwa Nia mbaya Bali kufunzwa uzalendo kwamba Kuna wakati wa kuumia kwa ajili ya wengine.
Walivumilia na kukomaa japo haikuwa rahisi hata kidogo na matunda ya uvumilivu wao yalionekana kwani Kuna miundo mbinu mingi sana ilijengwa.
Uliposhika uskani uliongeza WiGo wa kutafuta pesa kwa ajili ya miradi mikubwa pia uliona inafaa kuwarudishia kile kidogo AAA kikubwa sana kilichobanwa. Jambo hili lilirudisha matumaini upya kwani ilifikia Hawa watumishi hasa wa ngazi za chini kuishi kama mashetani na kushindwa kutunza familia zao. Kwani waliachwa mbali sana na gharama za maisha.
Hivyo mama wengi wanategemea huu mwendelezo mwema, uwaongezee watumishi wako mishahara, kuwapandisha madaraja na kuboresha maslahi yao, ili waendelee kuwa daraja imara la kupitisha maendeleo kuyapeleka kwa wananchi.
Ahsante mama watumishi wana Imani na wewe.
Mungu akulinde na kukutunza
Kundi hili lilibanwa mbavu na raisi aliyekutangulia ingawa haikuwa kwa Nia mbaya Bali kufunzwa uzalendo kwamba Kuna wakati wa kuumia kwa ajili ya wengine.
Walivumilia na kukomaa japo haikuwa rahisi hata kidogo na matunda ya uvumilivu wao yalionekana kwani Kuna miundo mbinu mingi sana ilijengwa.
Uliposhika uskani uliongeza WiGo wa kutafuta pesa kwa ajili ya miradi mikubwa pia uliona inafaa kuwarudishia kile kidogo AAA kikubwa sana kilichobanwa. Jambo hili lilirudisha matumaini upya kwani ilifikia Hawa watumishi hasa wa ngazi za chini kuishi kama mashetani na kushindwa kutunza familia zao. Kwani waliachwa mbali sana na gharama za maisha.
Hivyo mama wengi wanategemea huu mwendelezo mwema, uwaongezee watumishi wako mishahara, kuwapandisha madaraja na kuboresha maslahi yao, ili waendelee kuwa daraja imara la kupitisha maendeleo kuyapeleka kwa wananchi.
Ahsante mama watumishi wana Imani na wewe.
Mungu akulinde na kukutunza