Mei Mosi ni siku ya walimu duniani au wafanyakazi?

Mei Mosi ni siku ya walimu duniani au wafanyakazi?

Munch wa annabelletz47

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2019
Posts
1,885
Reaction score
3,227
Toka nmepata kujitambua kila mwaka naona katika siku ya wafanyakazi dunia walumu hua ndo vimbelembele sana kuliko wafanyakazi wa kada nyingine mpaka ikafika wakati najiuliza hivi mei mosi ni siku ya walimu au nikwa wafanyakazi wote.

Ushauri kwa walimu waliopo field na sisi watarajiwa tuache kujipendekeza sana tunajishusha hadhi na thamani kwajamii, tunaonekana kama wanasesele watu walio elimika lakini hawana maoni,malengo wala uwezo wa kujijitea hata kwa mwenyekiti wa kijiji.

Walimu tuache upopoma hii ni taaluma muhimu kwa maendeleo ya nchi yetu na hata duniani kwa ujumla.
 
Walimu idadi yao ni nusu ya jumla ya idadi ya watumishi wote wa serikali.
 
Haujui walimu wao ndio nusu ya watumish wote Tz... Waache Wana haki ya kusikika na kuonekana...
 
Sasa kwani wamefanya kibaya gani?
Sikukuu ya Mei mosi ni sikukuu ya wafanyakazi. Kimsingi, ilitakiwa iwe ni siku ya wafanyakazi kuwasikiliza viongozi wa vyama vyao vya kazi, kujadali changamoto zao na kuweka malengo. Lakini kwa vile Tanzania ni nchi ya manyumbu, imekuwa ni siku ya kudanganywa na wanasiasa.
 
Sikukuu ya Mei mosi ni sikukuu ya wafanyakazi. Kimsingi, ilitakiwa iwe ni siku ya wafanyakazi kuwasikiliza viongozi wa vyama vyao vya kazi, kujadali changamoto zao na kuweka malengo. Lakini kwa vile Tanzania ni nchi ya manyumbu, imekuwa ni siku ya kudanganywa na wanasiasa.
Sasa mkisikilizwa na viongozi wenu tu nani atatatua hzo changamoto mtakazowaambia serikali lazima iwepo mana wao ndio waajiri wafanyakazi sio lazima mei mosi ndio wasikilizwe na viongozi wao wao wanaweza wakawasilisha changamoto zao kabla ya ata hyo cku
 
Sasa mkisikilizwa na viongozi wenu tu nani atatatua hzo changamoto mtakazowaambia serikali lazima iwepo mana wao ndio waajiri wafanyakazi sio lazima mei mosi ndio wasikilizwe na viongozi wao wao wanaweza wakawasilisha changamoto zao kabla ya ata hyo cku
Wanaowasiliana na viongozi wa serikali ni viongozi wa vyama vya wafanyakazi. Halafu mamtatizo huwa yanatatuliwa kwa sera na siyo matamko ya majukwaani. Anyways, jambo kama hili ukimweza mtu asiye na exposure ya kujua nchi zilizoendelea wanafanyaje hawezi kuelewa. Kama umezaliwa na kukuta Mei mosi ikifanywa siku ya rais kupandisha mshahara na wafanyakazi kumsifu rais na kusema watamchagua tena huwezi kuelewa.
 
Unataka kunambia nini? Walimu ni wengi kuliko wanajeshi? Ushawahi kuona wanajeshi huko? [emoji1787]Au jeshini sio utumishi wa serikali?
hujui kitu ww kaa kmya walimu ni 51% ya watumishi wote serikalini
 
Hii nchi tunakoelekea ni kubaya. Maana kila mtu akipigwa tu na maisha mtaani, hasira zote anazipeleka kwa walimu.

Kuna umuhimu wa serikali kulegeza vyuma mtaani. Hali ya maisha mtaani ni tete.
 
Wanasesere[emoji3][emoji3]miaka nenda rudi huwaga n hivyo sijui kama watabarilika.
 
It seems that they used to be loose and available in most of the time?!
 
Back
Top Bottom