Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama wewe si mfanyakazi vipi uone imechangamka!Habar za Asubuh wapendwa!
Binafsi nimeshangazwa na sikukuu ya wafanyakazi (Mei Mosi) ya mwaka 2023 kupoa, hakuna ata matangazo wala promo lolote! Kama vile hamna kitu kabisa! Wafanyakazi tatizo nini?
Mbona bado mapema sana!Habar za Asubuh wapendwa!
Binafsi nimeshangazwa na sikukuu ya wafanyakazi (Mei Mosi) ya mwaka 2023 kupoa, hakuna ata matangazo wala promo lolote! Kama vile hamna kitu kabisa! Wafanyakazi tatizo nini?
Shida zikiisha Ilani ya 2025-2030 itaeleza mini sasa ?Hawana matumaini ya kutatuliwa shida zao
Tatizo lile lile la serikali ya Awamu ya Pili wafanyakazi waliombaga kuandika za barua kuacha Kazi.Habar za Asubuh wapendwa!
Binafsi nimeshangazwa na sikukuu ya wafanyakazi (Mei Mosi) ya mwaka 2023 kupoa, hakuna ata matangazo wala promo lolote! Kama vile hamna kitu kabisa! Wafanyakazi tatizo nini?
Umenikumbusha issue ya Samson na Delila wa kwenye BibiliaUsiku wa deni haukawilii kukucha🤣
View attachment 2605686
Usiku wa deni haukawilii kukucha🤣
View attachment 2605686
🤣🤣🤣🤣🤣🖕Usiku wa deni haukawilii kukucha🤣
View attachment 2605686
Kwa hio weekend ianzie Ijumaa na weekdays ziwe siku 4 tu?Leo mei mosi: Tutarajie Kwa wale Waislamu inatakiwa Muunge Mkono pendekezo la Siku ya Ijumaa kujumuishwa kama public holiday yaani Weekend hakuna kufanya kazi.
Kwa nini Jumapili na Jumamosi ni Weekend na sio Ijumaa?
Hii itakuwa nzuri sana Kwa Wafanyakazi pia.
🤝Kwa hio weekend ianzie Ijumaa na weekdays ziwe siku 4 tu?
Yani ACHA tu mie nimejiandaa kwenda kazini mwanangy amenikumbusha Leo ni siku yangu mpaka nikaona aibu nikaishia kumpa Hela ya dagaa anunue tukaange maana nyanya Sina,mafuta Sina ila chumvindo kunajirani kanihakishia atanipa nisiwe na wasiwasi[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]Habari za Asubuhi wapendwa!
Binafsi nimeshangazwa na sikukuu ya wafanyakazi (Mei Mosi) ya mwaka 2023 kupoa, hakuna ata matangazo wala promo lolote! Kama vile hamna kitu kabisa!
Wafanyakazi tatizo nini?