Meja Jenerali Isamuhyo ni nani?

Meja Jenerali Isamuhyo ni nani?

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Kawaida unaposikia jengo, barabara, daraja, uwanja nk. vimepewa jina la mtu fulani basi kuna uwezekano mkubwa wa mtu huyo kuwa na mchango mkubwa katika kufanikisha jambo hilo au kafanya mambo makubwa katika taasisi husika.

Uwanja unaotumiwa na JKT Tanzania umepewa jina la Meja Jenerali Isamuhyo. Inaonyesha huyu muheshimiwa ni au alikuwa mpenda michezo hasa huko jeshini ila bahati mbaya, nje ya kambi za jeshi taarifa zake zimekuwa finyu sana.

Ningependa JKT Tanzania na wadau wengine wa michezo watupe wasifu wa huyu mtumishi ili tumpe maua yake.

Kazi kwenu vijana wa online media, content hiyo nimewapa.
 
Kawaida unaposikia jengo, barabara, daraja, uwanja nk. vimepewa jina la mtu fulani basi kuna uwezekano mkubwa wa mtu huyo kuwa na mchango mkubwa katika kufanikisha jambo hilo au kafanya mambo makubwa katika taasisi husika.

Uwanja unaotumiwa na JKT Tanzania umepewa jina la Meja Jenerali Isamuhyo. Inaonyesha huyu muheshimiwa ni au alikuwa mpenda michezo hasa huko jeshini ila bahati mbaya, nje ya kambi za jeshi taarifa zake zimekuwa finyu sana.

Ningependa JKT Tanzania na wadau wengine wa michezo watupe wasifu wa huyu mtumishi ili tumpe maua yake.

Kazi kwenu vijana wa online media, content hiyo nimewapa.
Bonge la content mkuu.
 
Kawaida unaposikia jengo, barabara, daraja, uwanja nk. vimepewa jina la mtu fulani basi kuna uwezekano mkubwa wa mtu huyo kuwa na mchango mkubwa katika kufanikisha jambo hilo au kafanya mambo makubwa katika taasisi husika.

Uwanja unaotumiwa na JKT Tanzania umepewa jina la Meja Jenerali Isamuhyo. Inaonyesha huyu muheshimiwa ni au alikuwa mpenda michezo hasa huko jeshini ila bahati mbaya, nje ya kambi za jeshi taarifa zake zimekuwa finyu sana.

Ningependa JKT Tanzania na wadau wengine wa michezo watupe wasifu wa huyu mtumishi ili tumpe maua yake.

Kazi kwenu vijana wa online media, content hiyo nimewapa.
Alikuwa mkuu wa JKT na pia mlezi wa timu ya JKT aliyeihamasisha hadi ikafikia kuingia kwenye ligi kuu. Alitumikia JKT kwa muda mrefu sana; msikilize Mwamunyange hapa kuanzia dakika ya 6:18.


View: https://www.youtube.com/watch?v=_Ep0lazmRKE
 
Eti OK. Endelea kunichambaa Bi Aisha na shoga zakoo
Hahahaha!! nishayamaliza Mzee , mbona unaendeleza ligi ? nishaandika "OK" yaani fine mimi nishaachana na huu Uzi nilikuwa nachangamsha kigenge tu sasa nafanya yangu lakini umeanza kuleta tena pigo za Kike kutomaliza mambo wakati mtu kashaweka silaha chini na kupotezea..
 
Back
Top Bottom