Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu SI ndio alijifanya amefariki?Msanii Mejakunta amejikuta akiishi maisha ya hofu mara baada ya Lebo ya awali aliyokuwa akifanya nayo kazi ya Makers Entertainment kushindwana nao kikazi na kila mmoja kuangalia ustaarabu wake.
Lebo hiyo inayoendeshwa na vijana wawili ambao ni GMaker na Wasowiso wamekuwa wakimuhujumu mara kwa mara Meja Kunta lakini Meja siku zote amekuwa ni mtu wa kukaa kimya tu bila kujibu chochote.
Miongoni mwa vitu walivyovifanya ni kuvujisha baadhi ya nyimbo zake.
Pia kama hiyo haitoshi wameamua kutaka Account zote za Meja Kunta na kufuta nyimbo zote iliMeja ashuke kimuziki.
Ametuonesha ushahidi kupitia video alizozinasa na maongezi yaliyokuwa yakifanyika kati ya Wasowiso na team yao nzima na pia ikimuhusisha DJ wao Venture TZ.
Ushahidi huu hapa [emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2693041
Mbona unamtetea sana meja au ndugu yako?
Sipendi uonevu ,sijuani naye.Mbona unamtetea sana meja au ndugu yako?
Hivi anajua maana ya meja kweli 🤓🤓🤓🤓🤓🤓🤓Meja mzima analialia! Bora angejiita tu Mgambo Kunta.
Mxiki unafitina sana
Tatizo Sanaa yetu bado ni kimbilio la waliokimbia shuleIla fitina zisizidi kiwango.
Mfano kama hao jamaa waliopanga kuhack account yake.
ChaiMsanii Mejakunta amejikuta akiishi maisha ya hofu mara baada ya Lebo ya awali aliyokuwa akifanya nayo kazi ya Makers Entertainment kushindwana nao kikazi na kila mmoja kuangalia ustaarabu wake.
Lebo hiyo inayoendeshwa na vijana wawili ambao ni GMaker na Wasowiso wamekuwa wakimuhujumu mara kwa mara Meja Kunta lakini Meja siku zote amekuwa ni mtu wa kukaa kimya tu bila kujibu chochote.
Miongoni mwa vitu walivyovifanya ni kuvujisha baadhi ya nyimbo zake.
Pia kama hiyo haitoshi wameamua kutaka Account zote za Meja Kunta na kufuta nyimbo zote iliMeja ashuke kimuziki.
Ametuonesha ushahidi kupitia video alizozinasa na maongezi yaliyokuwa yakifanyika kati ya Wasowiso na team yao nzima na pia ikimuhusisha DJ wao Venture TZ.
Ushahidi huu hapa 👇👇👇👇👇
View attachment 2693041
ChaiIla fitina zisizidi kiwango.
Mfano kama hao jamaa waliopanga kuhack account yake.
ChaiIla fitina zisizidi kiwango.
Mfano kama hao jamaa waliopanga kuhack account yake.
ChaiIla fitina zisizidi kiwango.
Mfano kama hao jamaa waliopanga kuhack account yake.
ChaiWao wangejikita kufanya muziki na wasanii wao Dulla na huyo dogo na sio kumfanyia Meja ushenzi wanaomfanyia
ChaiIshu sio uoga ,ishu ni kuanika machafu yote aliyokuwa anafanyiwa Ili jamii ijue hao watu ni wa namna gani.
ChaiWao wangejikita kufanya muziki na wasanii wao Dulla na huyo dogo na sio kumfanyia Meja ushenzi wanaomfanyia
ChaiTunaomba serikali hili jambo wasilikalie kimya maana kama wameanza kuhack accounts za Meja na kuvujisha baadhi ya nyimbo zake basi hawatashindwa hata kumdhuru kimwili mikakati yao ya awali ikifeli.
ChaiIli Tabia hii ikomeshwe ,hao jamaa walipishwe faini ndefu sana na iwe funzo kwa Lebo zingine za kitapeli tapeli.