Meja Kunta unatisha una-deserve kupewa sifa

Msaga Sumu ndo msanii ambaye anakaaa kimya ila akitoka na ngoma anafunika waimba singeli wote
 
Anajua ila kuna melody kazipiga kwenye mamu karbia kila wimbo wake utazikuta ,yaan anazunguka pale pale tu , mfikishie salamu kua anasauti Kali ila ubunifu zaid unahitajika kina balaa mc washaanza vurugu mjini
 
Anajua ila kuna melody kazipiga kwenye mamu karbia kila wimbo wake utazikuta ,yaan anazunguka pale pale tu , mfikishie salamu kua anasauti Kali ila ubunifu zaid unahitajika kina balaa mc washaanza vurugu mjini
Hiyo melody ndio silaha yake inayomtofautisha Kati yake na Wasanii wengine kwanini asiitumie na sawa na producers wanakuwa na touch zao kila Wimbo lazima ziwepo
 
Ndio aloimba namruhusu mke akadange
Hiyo nyimbo kali jamani
Your browser is not able to play this audio.
 
Mamu,Shori,Chura superstar,Wanga,,Muulize Swizz beat anamjua vizuri uyu dogorasi Kunta
 
Mkuu unamjua Balaa Mc?
 
Ila R na L zinampiga chenga bado
 
Jamaaa anajua sana .

Kama huu wimbo wa demu wangu ni hatari na nusu kuanzia audio mpaka video
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…