ooonhooo onhoooo..
anhaaaa anhaaaaaa..
oooooooooooooooooh..
aaaaaaaaaaaaaaaaaaah..
hajui kuimba, analia na kupiga kelele kwenye nyimbo zake....
niliipenda singeli kupitia wimbo wa 'Rafiki wa kweli' ,nikaipotezea baadae, ikaanza ku kick kwa nyimbo za hainaga ushemeji, hujaulamba, etc...
hakuna msanii aliyebebwa na hajui kuimba kama huyo meja kunta, ..
kwasasa wimbo naosikiliza sana wa singeli ni 'GETO LA BIBI' wa Sholo mwamba... japo umetoka mwaka jana, mimi n mchaguzi sana wa nyimbo za kusikiliza ,ila nasema meja kunta hajui kaka, anapiga tu kelele..
na inawezekana alijua hajui ndiyo maana akajizushia kifo...
huwezi muweka kwenye kundi moja na kina MSAGA SUMU(LEGEND), DULA MAKABILA, SHOLO MWAMBA, SKIDE, au yule alomshirikisha MARIOO kwenye wimbo wa NAKUJA....
Kama kakutuma kamwambie feedback ni HAJUI, aendelee kutegemea promo ambayo ni mbaya na itamtesa baadae kama inavyowatesa wasanii walio itegemea Clouds fm enzi za Ruge kwa sasa wanalala njaa.
Hayo ni maoni yako sasa Meja kunta na sholo mwamba yupi anapiga makelele?
HUYU MEJA ANASIMAMIA KIKOSI GANI CHA JESHI?
Hiyo melody ndio silaha yake inayomtofautisha Kati yake na Wasanii wengine kwanini asiitumie na sawa na producers wanakuwa na touch zao kila Wimbo lazima ziwepoAnajua ila kuna melody kazipiga kwenye mamu karbia kila wimbo wake utazikuta ,yaan anazunguka pale pale tu , mfikishie salamu kua anasauti Kali ila ubunifu zaid unahitajika kina balaa mc washaanza vurugu mjini
Mkuu unamjua Balaa Mc?Najua kuna baadhi ya watu ukitoa sifa kwa mtu hawapendi Mara utasikia umekuja kujipigia promo humu lakini tuwe wakweli this man called Meja kunta ameleta mapinduzi kiasi kikubwa kwenye singeli. Meja kunta ana voice unique sana na yenye mvuto tofauti na wasanii wengi wa singeli binafsi nilikuwa si mpenzi wa singeli ila tangu huyu mwamba aje nimekuwa mshabiki wake lakini pia kwa singeli kiujumla.
Kipaji alichonacho Meja kunta kawazidi wasanii wengi wa Bongo Fleva ana sauti fulani hata kama wimbo wa kawaida anaufanya uwe mkali. Kwa kazi nzuri anazofanya huyu mwamba anastahili pongezi kubwa.
Upo vizuri lakini alifunikwa kwenye wimbo aliyoimba na Meja kunta.Mkuu unamjua Balaa Mc?
Naupenda achaNdio aloimba namruhusu mke akadange
Hiyo nyimbo kali jamaniView attachment 1733448
Na nyingine inaitwa namruhusu mke wangu akadangeMamu,Shori,Chura superstar,Wanga,,Muulize Swizz beat anamjua vizuri uyu dogorasi Kunta
Tutajie nyimbo 5 kali alizoimba.