Najua kuna baadhi ya watu ukitoa sifa kwa mtu hawapendi Mara utasikia umekuja kujipigia promo humu lakini tuwe wakweli this man called Meja kunta ameleta mapinduzi kiasi kikubwa kwenye singeli. Meja kunta ana voice unique sana na yenye mvuto tofauti na wasanii wengi wa singeli binafsi nilikuwa si mpenzi wa singeli ila tangu huyu mwamba aje nimekuwa mshabiki wake lakini pia kwa singeli kiujumla.
Kipaji alichonacho Meja kunta kawazidi wasanii wengi wa Bongo Fleva ana sauti fulani hata kama wimbo wa kawaida anaufanya uwe mkali. Kwa kazi nzuri anazofanya huyu mwamba anastahili pongezi kubwa.
Kipaji alichonacho Meja kunta kawazidi wasanii wengi wa Bongo Fleva ana sauti fulani hata kama wimbo wa kawaida anaufanya uwe mkali. Kwa kazi nzuri anazofanya huyu mwamba anastahili pongezi kubwa.