Melania Trump atinga mbugani!!

Melania Trump atinga mbugani!!

1academ

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2016
Posts
2,316
Reaction score
3,567
Ni katika ziara yake humu nchini, alikuwa maeneo ya Nairobi National park, pale sheldrick elephant orphanage.[emoji123] [emoji106]
FB_IMG_1538840882086.jpg
FB_IMG_1538841049645.jpg
FB_IMG_1538841698477.jpg
FB_IMG_1538841709128.jpg
FB_IMG_1538841714677.jpg
 
Amefurahikia sana trip yake humu nchini na kuahidi kumburuza mmewe, mzee wa kazi trump! naye aje akatize mbugani[emoji109] [emoji191] [emoji16] [emoji208]
FB_IMG_1538841701566.jpg
 
Walinzi wetu huvaa hovyo na hawataki pigwa picha
 
Tatizo ya hiyo mbuga ya Nairobi haina wanyama wengi unaweza zunguka muda mrefu na kuona baadhi tu ya wanyama.
 
Kwaheri ya kuonana Melania, Kenya hakuna matata![emoji113] [emoji122] [emoji3]
FB_IMG_1538841404841.jpg
FB_IMG_1538841409629.jpg
FB_IMG_1538841416106.jpg
 

Attachments

  • FB_IMG_1538841701566.jpg
    FB_IMG_1538841701566.jpg
    93 KB · Views: 20
Hahahaha,huyu tusingemruhusu Tanzania mume wake sialiita Nchi za Africa shithole!!? kwaiyo hapo ametembelea kenya ambayo ni mojawapo ya nchi za kiafrika ambazo mume wake aliita shimo la choo si jui upuuzi gani....huku...Tz hatusahaugi kitu...
 
she is so friendly. Seems she likes Africa and the people evident on how she interact with the kids. She's fond of Kenya's first lady too.
Very different from his hubby doughnut dumb
 
Mbona alienda mbuga inayomilikiwa na wazungu, na sio mbuga kama maasai mara ama Tsavo?

Mimi naona Trump anataka kununua shamba kubwa aina ya conservancy uko nanyuki wapakane na Uhuru, British military outpost, American foreign base, na pia base itakayokuja ya kichaina!

Hapa maasai na samburu wa kenya watanyoroshwa safi sana! Wacha wavuke tu na ngombe kwa eneo izo!
 
Hongera kwa Maggie, kumbe Office of the First Lady pia inaeza ikaandaa vitu vya maana kama hivi? Very Nice!
 
next time aje Bongo...aje kuona visivyo julikana
 
Back
Top Bottom